Wizi katika Vituo vya Mafuta!!!

Hiyo dawa ya GFI watu washaijulia, wanaweka maji juu ya mafuta halafu kwa kua density ya maji hua ni kubwa basi maji yataenda chini tu, sasa kadiri tank (lori) litakapokua linaenda, yale maji yatakua yakihamia chini huku ''yakiosha'' ile dawa, mwisho wa safari dawa yote inabaki chini na maji, mafuta yanabaki juu utafikiri hayajawahi kuiona wala kuisikia hiyo dawa,MJINI HAPA!!
 
mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, waacheni waibe tu
 
Ushauri wangu ni kama alivyosema mkuu kuwa ni vizuri kuwa na mazoea ya kujaza mafuta katika kituo kimoja. Mie huwa napenda kujazia BP ingawaje bei yao ni juu. Tututmie galon za oil kwa kuchukulia mafuta kwa usalama zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…