Wizi huu mpaka lini???

Wizi huu mpaka lini???

Inawezekena hiyo mobile na laptop abiria hakununua kwa pesa yake. kama alinunua kwa pesa yake basi hivyo vitu thamani yake kwake ni kama kandambili. Sio rahisi kuwa mzembe kiasi hicho.

Na kama alivyosema moa mada 1ja kutotaja jina la basi kunazidi kutia shaka uhakika wa habari yenyewe. Taja jina la kampuni uwasaidie watu.

very true mkuu... si unajua tena "kwa msaada wa watu wa marekani'??? people dont care and custodianship ni zero.... angenunua yeye asingeacha kwenye gari
 
Mwezi uliopita tulisimama pale Comfort hotel na gari ndogo ili kupata chakula. Mara mhudumu mmoja wa kike 'aliokota' laptop imewekwa kwenye mfuko wa Rambo, akaulizia lakini haikuwa ya mmoja wetu.

Ndipo ikatoka stori kwamba abiria mmoja aliyekuwemo katika basi moja linalokwenda Songea (nimesahau ni lipi) alitoa tangazo laptop yake imeibiwa, wakasachi ndani ya basi haikupatikana na wakaondoka kwenda kuripoti kituo cha Ilula kwa sachi zaidi.

Nadhani jamaa alivyoona dili limetimuka akaamua kuachana nayo pale pale hoteli. Au walikuwa na makubaliano na mmoja wa wale wahudumu lakini bahati mbaya ule mfuko aliuona mwengine na akadhania kuwa mmoja wa abiria amesahau mzigo wake.

Bado ule msemo wa Abiria chunga mzigo wako unafanya kazi.
 
Mwezi uliopita tulisimama pale Comfort hotel na gari ndogo ili kupata chakula. Mara mhudumu mmoja wa kike 'aliokota' laptop imewekwa kwenye mfuko wa Rambo, akaulizia lakini haikuwa ya mmoja wetu.

Ndipo ikatoka stori kwamba abiria mmoja aliyekuwemo katika basi moja linalokwenda Songea (nimesahau ni lipi) alitoa tangazo laptop yake imeibiwa, wakasachi ndani ya basi haikupatikana na wakaondoka kwenda kuripoti kituo cha Ilula kwa sachi zaidi.

Nadhani jamaa alivyoona dili limetimuka akaamua kuachana nayo pale pale hoteli. Au walikuwa na makubaliano na mmoja wa wale wahudumu lakini bahati mbaya ule mfuko aliuona mwengine na akadhania kuwa mmoja wa abiria amesahau mzigo wake.

Bado ule msemo wa Abiria chunga mzigo wako unafanya kazi.

labda ndiyo ya fishercom...
 
mimi nadhani hao abiria ni wazembe, na ni nani alihakikisha kuwa kweli walikuwa na laptop na simu?...je kama ilikuwa ni njama ya kuchunguza ni nani na nani wana nini na nini ili waibe au hata mkifika huko mnakokwenda (maana mlifika usiku) wawavizie wawakabe na mwisho wawaibie....ni mtazamo wangu tu lakini
Abiria mmojawapo aliyeibiwa laptop yake ambaye alikuwa jirani nami alikuwa anaitumia na ilikuwa inaonekana kwa abiria wengi. Inasemekana wizi huo umeenea sana lile eneo siku za hivi karibuni na pia sababu ya watu wengi tofauti wanaofika eneo lile kila siku na kuondoka ni watu wachache wanaopata taarifa hizo na kuwa na tahadhari wanapofika pale.
 
afadhali laptop i can understand...
jamani simu i thought is one item kila mahali uwe nayo!!
au wenzangu wamesahau matumizi ya simu...??
huu ni uzembe wa hali ya juu
Kweli ni uzembe wa hali ya juu,nadhani itakuwa ni fundisho kwa wale ambao si waangalifu na makini safarini au mahali pengine popote panapo hitaji umakini.
 
kutotaja jina la basi[/B] kunazidi kutia shaka uhakika wa habari yenyewe. Taja jina la kampuni uwasaidie watu.
Jina la basi tayari limetajwa mkuu,angalia michango iliyotolewa mwanzoni mwa hii topic. Thanx
 
Back
Top Bottom