Wizara ya Mambo ya Ndani waita usaili

Wizara ya Mambo ya Ndani waita usaili

kweli nimeziona , naona hata kajina kangu kapo ndani, shidah ni hio usaili sasa, this time cjui kutakuwa na uchakachuaji kama kawa ama ??? watoto wa wakulima tutapata na sisi ahueni??
 
hivi hizi si ndiyo zileeeeeeeeeeee zilizochakachuliwa at first, mbona wameshort list mapema hivyo?
 
kwa sasa short list imekuwa mapema kulingana na muda wa kwenda mafunzo ili watu wawahi kuingia depo..kwa sasa nafasi moja itagombewa na watu wawili...mfano nafasi za koplo shortlisted ni watu 296 gawa kwa mia inakuja 2 point kadhaa..angalau kuna possibility ya watu kupata ajira kwa hao shortlisted..wakuu jiandaeni kwa usaili this time chujio ni kali mno na kitapimwa kila kitu ulicho attach kwenye maombi ya kazi..so pitieni kila kona..kila la kheri katika usaili..msisahau vyeti halisi vya masomo na mafunzo(academic and leaving)..picha za passport size 2 za rangi.cheti halisi cha kuzaliwa.
 
Namshukuru Mungu amenipigania aksante sana mama uzidi kutulinda tukafanye interview vzuri Siwezi ila Mungu ndo unanifanya niweze
 
Namshukuru Mungu amenipigania aksante sana mama uzidi kutulinda tukafanye interview vzuri Siwezi ila Mungu ndo unanifanya niweze

Mkuu safi sana tukutane DUCE naona yale majina ya ndugu zao hayapo au wamebadilisha vyeti
 
kweli nimeziona , naona hata kajina kangu kapo ndani, shidah ni hio usaili sasa, this time cjui kutakuwa na uchakachuaji kama kawa ama ??? watoto wa wakulima tutapata na sisi ahueni??

Shaka ondoa haki itatendeka
 
Back
Top Bottom