ni upepo tu unaelekea kwisha saivi watu washapiga hela na wananchi washasahau mambo muhmu...
Daaaa jamaa una akili wewe na ukichanganya na zile bilioni 200 kuna kawimbo walikianzisha juzi madini samunge yaani hii nchi kweli mazoba tupo wengi
wizi wa bilion 200+300 za ewura+kifo cha utata mkurugenzi ewura+serikali 2 au 3....kimyaaaaa
Yaani ndo tunajiuliza hapa na jamaa zangu hawa mafisadi wanauchungu na nawanalinda maslahi yao kwa gharama zozote hata kutoa uhai wa mtu lakini sie maskini walalahoi tunao ibiwa hatuna habari kabisaaaaa najiliza hii ni laana tuliachiwa na babu zetu au ndio tunaangamia kwa kukosa maarifa?
wizi wa bilion 200+300 za ewura+kifo cha utata mkurugenzi ewura+serikali 2 au 3....kimyaaaaa
zindiko la mwenge hilo kaka na alituzindika wa kwanza ni nyerere kwanza
MWENGE unapofunikwa usizime WANAFUNIKA VICHWA NA AKILI ZETU TUSIELEWE WANAYOTUFANYIA AU HATA TUKIELEWA TUSITE KUCHUKUA MAAMUZI......
Habari wakuu,.
Kwa taarifa zisizo rasmi ni kwamba sampuli mbili za damu katika hospitali ya KCMC zimegundulika kuwa na homa ya Dengue.
My Take: Serikali inapaswa kuchukua hatua za makusudi na za haraka ili kudhibiti ugonjwa huu hatari unaoelekea kusambaa nchi nzima sasa.
Source: Rafiki yangu anayefanya kazi maabara Hospitali ya KCMC.
hizo sampuli zimetoka maeneo gani?KCMC ni referal hospital!
acha ujinga hakuna ugonjwa wa dengue