Wizara ya afya matokeo!

Bongoclever

Senior Member
Jul 30, 2012
105
11
Taarifa nilizozipata masaa machache ni kwamba,
Matokeo ya waloomba wizara ya afya yanabandikwa katika kanda uliyo ombea.
Kuna mshkaji wa Kigoma amesema tayari Katika mkoa wa Kigoma matokeo yamebandikwa wizarani.
NGOJA TUSUBIRI NA SISI WA MIKOA MINGINE!
 
Taarifa nilizozipata masaa machache ni kwamba,
Matokeo ya waloomba wizara ya afya yanabandikwa katika kanda uliyo ombea.
Kuna mshkaji wa Kigoma amesema tayari Katika mkoa wa Kigoma matokeo yamebandikwa wizarani.
NGOJA TUSUBIRI NA SISI WA MIKOA MINGINE!

Asante kwa taarifa nzuri.
 
Back
Top Bottom