mapenzi bila wivu ni sawa na buru lakini wivu nao ukizidi mapenzi yanaharibika hasa kwa wanawake mnawivu mpaka kero
Jinsia yenu haieleweki,U mix two things at onceMi mtu asiponionea wivu ni kuwa hanipendi! Lakini tusifatiliane!
Kama mwenzi wako anaku-care na kukukuna kisawasawa, sharti umuonee wivu. Labda kama malengo yako ni kumchuna tu, hapo hutakuwa na wivu. Na kwa wanaume vile vile, kama bidada anakufikisha mars na yumo ndani kabisa ya moyo wako, lazima utamuonea wivu.mapenzi bila wivu ni sawa na bure lakini wivu nao ukizidi mapenzi yanaharibika hasa kwa wanawake mnawivu mpaka kero
Unamaanisha wivu wa vipi Himidini mtu hata asiguse simu au asiongee na watu kwasababu inategemea na huo wivu wenyewe!^^
Ngoja niifuatilie hii mada,,maana nikimpenda mwanamke kwa dhati ugomvi mkubwa ni kuwa nina wivu eti nimuache huru.
Ntajifunza jambo hapa.
^^
Unamaanisha wivu wa vipi Himidini mtu hata asiguse simu au asiongee na watu kwasababu inategemea na huo wivu wenyewe!
Huo sasa mzuri unaongeza chemchem za mahabati...^^
Ha ha sijafika huko,,najua Love is not possessive.
Ni ule tu wa kawaida.
^^
Zombie wangu siku moja nikajifanya kumuuliza ni nan huyo kakupigia simu?eti nae akafurah nakuniambia kumbe una wivu baby eeeeeh!!!!!
Angejua..........lol
Kwa hiyo huna wivu nae?
Zombie wangu siku moja nikajifanya kumuuliza ni nan huyo kakupigia simu?eti nae akafurah nakuniambia kumbe una wivu baby eeeeeh!!!!!
Angejua..........lol
Utoke wapi?sina kabisaaaaaaa...........hata kuDo sijawah nae
Msitufanyie chochote.....................^^
Angejua nini?..ndo shida hiyo,hamukawii kutuita mazoba,tukiwaacha Oo! Hapendeki,,jamani tuwafanyie nini!
^^