Wivu unanimaliza!

Wewe unataka kufanana bwana wa rafiki yangu ambae ni Mume wa mtu,namchunga rafiki yangu kama nini,hata tukitoka outing mnashtukizia yupo hapo na yeye,kilichonishangaza ni kumkagua rafiki yangu sehemu za siri atokapo mahali,au kwenda kwa rafiki yangu ghafla na kukagua nyayo hadi uvunguni,kingine ni kusikiliza kwa loud speaker rafiki yangu akiongea na sisi,na muda wote huwa na rafiki yangu hata mke hana nafasi,huu ni ugonjwa unaoitwa Obssession!
 

Mmmhhhh!!!
 
Last edited by a moderator:
Mmmhhhh!!!

Hauko peke yako Mkuu. Nitumie ujumbe mdogo mkuu wa kukubali. Nitakupa ushauri mzuri and very Discreet. Kuna maswali magumu ya kibinafsi nitakuuliza lakini natumaini tutafanikiwa.
 
mi nahisi huyo mpenzi wako atakua na tiba halisi,mtafute sehemu tulivu mwende mkae mkumbushane good times ununue na zawad,afu mwambie hili tatizo kwa namna ulivyosema hapa !you will solve this problem together!

KULA "LIKE" X90000000! What a nice advice! Tatizo siku zote linahitaji ushirikishwaji wa namna kama hii ulioeleza. I like your good strategy!congrats
 
Raha ya kuonewa wivu.............huyo anayekuonea wivu awe mwaminifu ........
 
Jitahidi uache

Dawa ni kunuamini mwenzio

Na nikujibu kama mwanamke, hakuna kitu kinachoudhi na kujera kama mwanaume asiyejiamini na kujawa wivu

Ipo siku atachoka

Maana anajihidi kuwa mtumwa sasa

Atachoka maana unamchosha hata kisaikolojia, hawezi kuwa na marafiki
Hawezi kuhang na watu tofauti
Hawezi fanya lokotr kukuhofia wewe

Atachoka

Na atakuacha

Control yourself

Na njia kuu ninkumuamini

Na ujiamini mwenyewe
 
Sijui, labda nimekulia kwenye mfumo dume kiasi kwamba umeathiri jinsi yangu ya kutizama mambo, (masculine culture).
Mwanamme mzembe mzembe na mdiplomasia sana ntamzarau. Napenda mtu analinda mipaka yake, nakasirika na kununa, ila kimapenzi zaidi.

Kongosho hebu nipe siri ya kupenda kufanyiwa hivyo........
 
ni vyema kwa kuwa unajitambua kuwa wivu ulio nao ni tatizo, ni hatua nzuri. vinginevyo,huu uzi angekuwa ameleta huyo mke wako tungemshauri namna zaidi ya kuishi nawe ukiwa na hicho kiwango cha wivu. jaribu kuwa na imani kuwa mke hafanyi upuuzi wa aina hiyo.
 
Mi napenda mtu mwenye wivu....

wivu unatofautiana,upo wivu unaoweza kuimarisha penzi lakn mwingine ni majanga, can u imagine kufuatisha wimbo tu keshagonga,vp akikuta linambusu lijamaa alilosoma nalo kipindi kile enzi hizo..........?
 
Sijui, labda nimekulia kwenye mfumo dume kiasi kwamba umeathiri jinsi yangu ya kutizama mambo, (masculine culture).
Mwanamme mzembe mzembe na mdiplomasia sana ntamzarau. Napenda mtu analinda mipaka yake, nakasirika na kununa, ila kimapenzi zaidi.

aiseeeh!!!!!!!!! kumbe mpo wengi.
 

hahahaha aiseee we noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…