Wivu umeniponza

We jamaa ni fala sana ..utakufa masikini endekeza wanawake walioachwa na wanaume wenzako..unafikiri kwa nn mwenzako alimuacha na watoto...huyo ni malaya mpenda pesa...acha ufala tafuta mwanamke achana na kahaba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maelezo yako inaonesha hajawahi kukupenda
 
Asanteni wote mliotumia muda wenu kuniambia lolote,nimeyapokea yote na nilichozingatia na kukifanyia kazi ni kuwa na maisha mengine mapya bila yeye niwashukuru tena wana jf wote ushauri wenu umeniponya na penzi la mateso.
 
Asante kwa ushauri wako maisha yangu yanaenda hata bila yeye sasa nimejua niishije na viumbe hawa ninapokutana nao
 
Hapo tatizo siyo wivu wako...

Tatizo ni huyo aliyekuwa mwanamke wako, yupo na wewe ki-maslahi asilimi 100, unalijua hilo na unaliona lakini unajifanya mahaba niue...

Utavuna ulichopanda... She is not your type... Humuwezi na uchumi wako mdogo...


Cc: mahondaw
 
Kwa mtazamo wangu kulikuwa hakuna haja ya kufungua uzi kuomba ushauri labda kichwa cha khabari kingekuwa fundisho au somo ulilolipata maana rangi zote kakuonyesha weye ulitakiwa uchukue hamsini zako coz alipenda kipato na si mtu wa kukumbuka fadhila
 
Acha nae huyo, ni mbwa koko,, jipange upya kwa maisha mengine, huyo anaonesha hana mpango na ww, alipenda pochi kuliko mpenzi, hahahah
 
Jamani kuna watu wana bahati wanazipiga teke! Wenzie wanatafuta wa kumpa 2000 hawampati!! Upele humpata msi kucha!
 
Achana na huyo mwanamke kabisa ameshajua Kua uchumi wako umekaa vibaya alifuata pesa kwako siyo penzi
 
Tatizo moja umeingia kwenye penzi lake mzima mzima badala ya kukaa mguu ndani mguu nje..unaona sasa, umelipia kooote huko umekwama amekuacha...Hawa viumbe hawaelewekagi mzee mwenzangu ni kuishi nao kwa akili tu...

Unaweza ukaanza maisha mapya lakini kama utakuwa tayari kumpotezea, kwanza demu yenyewe inaonesha hana Real Love na ana sponsor mwingine..


Pole sana Mzee Baba
 
Samahani, hili Tangazo umelipia??
 
Kwa mtazamo wangu kulikuwa hakuna haja ya kufungua uzi kuomba ushauri labda kichwa cha khabari kingekuwa fundisho au somo ulilolipata maana rangi zote kakuonyesha weye ulitakiwa uchukue hamsini zako coz alipenda kipato na si mtu wa kukumbuka fadhila
Kaka, mapenzi yanatabia mbaya sana asee unawezakua kipofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…