Wivu ni kidonda

Sosthenes Maendeleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
2,742
Reaction score
1,725
Jamani kuna msemo unasema kwamba "wivu ni kidonda ukishiliki ugua pole"

Mimi ni mtoto wa familia nimejionea huu msemo ni kweli baada ya kukatamani kabinti ka kazi (housemaid) na kananikubali ila tatizo nahisi pia kanachukuliwa na jirani yetu.

Huyu jirani akitoka kazini bila aibu anajipendekeza na binti anatoka (sijui huwa anaenda wapi) basi mimi ndio naanza kuugulia na maumivu ya moyo. Jamani wivu mbaya acheni kabisa wivu.
 
Duh!
Wee kama mimi enzi hizo. Copyright yani, kazi kweli kweli.
 
kweli wivu kidonda ukishiliki utakonda ..... endelea kula kwa macho
 

umefunga shule au ndo uliishia kwenye yale matokeo ya divisheni 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…