Wivu katika mahusiano!

Wivu katika mahusiano!

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Nimekuwa nikijadiliana na wanaume wenzangu as well marafiki zangu wa jinsia ya kike kuhusu Wivu.

Katika matokeo nikabaini mambo mawili. La kwanza, wanawake wengi wao wanaamini mwanaume akiwa na wivu naye ndio ishira inayo mthibitishia kwamba anapendwa kiu kweli kweli.

Pili, Wivu ndio kipimo cha kutenganisha balance ya kupendwa sana na kupendwa kiasi. Katika mahusiano, mtu atakaye kuwa na wivu sana kwa mwenzake ndiye anaonekana anampenda zaidi mwenzake.

@kwamtoro nawaambia, mpenzi anapokuwa hana wivu si ndio kutokuwepo kwa penzi la kweli. Wivu matokeo yake ni hasira mwisho wa yote inampelekea mpenzi kumuumiza mpenzi wake.
 
hahahaha, kwa kweli hlo inategemea coz smtyms wivu ni ujinga
 
!
!
mie niano kwa mtu mmoja tu.....na anaburuta moyo wangu vibaya mno. I wish, wish i just wish now
 
Mimi nilikuwa nao kwa mtu ninae mpenda ila naona nae haeleweki so nimeanza chukua mbao zangu kwani najua mbali hatufiki
 
Kuna wivu mwingine wa kuigiZa tu na upendo hakuna...
 
siwezi jipa jakamoyo nikafa siku si zangu! ananipenda kweli nitajua! ana michepuko nitajua! simple n effect way ni kuchukua maamuzi magumu! SEPA..!
 
Mi naona bora kuwa na wivu wa kipimo sio ule wa kupitiliza kwan sidhani kama mtu waweza kuwa na mume / mke halafu usimuonee wivu hata kidogo. Katika mahusiano wivu una nafasi yake banaaa.
 
Mi naona bora kuwa na wivu wa kipimo sio ule wa kupitiliza kwan sidhani kama mtu waweza kuwa na mume / mke halafu usimuonee wivu hata kidogo. Katika mahusiano wivu una nafasi yake banaaa.

Dawa ya wivu ni uelewa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom