GE2025 Wito Uchaguzi Huu: Tusitumie Pesa Kama Fimbo, Kuwachapia Wasionazo na Kunulia Kura,! Tule Tuu Pesa Zao, Tuchague Viongozi Bora Hata Kama Hawana Pesa!.

GE2025 Wito Uchaguzi Huu: Tusitumie Pesa Kama Fimbo, Kuwachapia Wasionazo na Kunulia Kura,! Tule Tuu Pesa Zao, Tuchague Viongozi Bora Hata Kama Hawana Pesa!.

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,718
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo
Tusitumie Pesa Kama Fimbo.jpg

Leo, naanza kwa maneno ya nyimbo mbili za zamani za muziki wa dansi, wa kwanza ni wimbo Fukara Hapendeki ulioimbwa na mwanamuzi Shabani Dede na bendi ya muziki ya Juwata Jazz Bend, JJB, wana Msondo Ngoma na wimbo wa pili ni Pesa Sabuni ya Roho wa Jabali la Muziki, Marijani Rajabu na Dar International.

Wimbo wa Fukara Hapendeki una maneno haya
“Nimekumbuka yangu ya dunia,
Maneno baba aliyoniambia,
Fukara hapendeki mbele za watu hata kidogo
Lolote asemalo wao watacheka,
Na kumuona bure tena hayawani,
Hata lenye maana watadharau na kupuuza,
Mola akikujalia na kazi ukipata,
Maisha raha sana, watakuona wa maana
Dharau haifai, na tena mbaya sana,
Muone kama mtu sio mpaka awe na kitu
Chorous
“Utu ni tabia njema, na wala sio pesa

Ada ya mja hunena, muungwaana ni kitendo”

View: https://youtu.be/rJ3G4fNRybw?si=N1VbM4vhbOelv7_j

Kisha nikamkumbuka Jabali la Muziki, Marijani Rajab, kwenye wimbo wake, Pesa Sabuni ya Roho, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni

"Umasikini, japo hutokea kwa wananadamu,
lakini hakuna anayeupenda
Mli mradi mtu ufanyeje,
Huna la kufanya aha maua,
Oh masikini mie…

Hukufanya uwe mnyonge siku hadi siku,
Mnyonge pia huwa hana haki,
Mpaka mwenye nguvu apende.
Nalia mwana maua,
Oh masikini mie…
Chorous
“ Pesa pesa, pesa ndio sabuni ya roho
mwenye pesa, mwenye pesa sio mwenzio, nasema… x 2
kila penye uzia wewe penyeza rupia, jamani pesa ohh, ilivunja ng’ombe na milima, wakale walisema,
Chorous

Mwenye pesa akifika, watu wote husimama, kila analolisema watu hulipa uzito, pesa pesa,

View: https://youtu.be/dRc5I3GnErM?si=zkyBPWlSJgV0JplF

Nimeyakumbuka maneno haya, kufuatilia mchaka mchaka wa harakati za vyama vya siasa kujiandaa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, japo lengo kuu la uchaguzi ni kupata viongozi bora, na sio bora viongozi, na hakuna ubishi, kuhusu umuhimu wa fedha za kugharimia kampeni za uchaguzi, enzi zetu za zamani, enzi zile za TANU, namna ya kuwaita watu kwenye mikutano ya hadhara, ilikuwa ni inapigwa tuu mbiu, au lamgambo likilia, watu wanakusanyika, wakijua kuna jambo, watu walikuwa wanachangishwa senti tano tano, senti kumi, senti 20, thumuni na shilingi moja!, enzi hizi kulikuwa na noti ya silingi tano!.

Enzi hizo, sifa kuu za uongozi ni uwezo wa mtu na kujituma kwake kutumikia jamii, na sio fedha, Chama cha TANU na baadae CCM ni chama cha makabwela, ni chama cha wanyonge, ni chama cha wakulima na wafanyakazi.

Baada ya TANU kutangaza siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, pia kiliweka miiko ya uongozi, utajiri ulikuwa ni disqualification, matajiri walikuwa ni ama wafanyabiashara walioitwa, mabepari, ama wamiliki wa aridhi na mashamba makubwa walioitwa makabaila, ama wamiliki wa majumba walioitwa ma bwanyenye. Mwalimu Nyerere akatoa ile misingi minne ya ili tuendelee tunahitaji vitu vinne, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, fedha sii msingi, fedha ni matokeo!.

Kufuatia maendeleo na mabadiliko ya usasa, mambo yakabadilika, maisha nayo yamebadilika, maisha ya zamani yalikuwa maisha ya ukweli, kuliko maisha ya vitu, kwa kizungu “life wa more realistic than materialistic”, lakini sasa maisha ni kama unakitu, yaani “life is more materialistic than realistic”, thamani ya mtu sio tena ule utu wake bali anaangaliwa ana nini?, kama hana kitu, wewe ni lofa tuu!. Heshima ya mtu sasa sio utu ni pesa!, sasa pesa imekuwa ndio kila kitu!.

CCM nayo ikabadilika, Azimio la Arusha likazikwa, likaibuka Azimio la Zanzibar, likaifuta ile miiko ya uongozi, siasa zikageuzwa fedha, viongozi wakaanza kuwa majajiri na ukitaka uongozi, sasa kipimo cha kwanza ni sio tena sifa za uongozi, bali sasa ni fedha!. Zamani fomu za uongozi ni bure, leo fomu za uongozi ni fedha, Udiwani laki, ubunge, milioni, urais milioni 5!. Akina pangu pakavu tia mchuzi, kama huna pesa, huna chako, mkono mtupu haulambwi!. Ungozi wa kisasa ni uongozi wa kununua, lazima uwe na fedha za kununua fomu!.

Siku hizi, pesa ndio sifa ya kwanza ya kugombea uongozi, hivyo wakati vyama vinachangisha fedha kugarimia uchaguzi, tumeshuhudia matajiri wakijitokeza kwa wingi kugharimia harambee ya chama cha siasa, na shilingi bilioni 100, zimepatikana ndani ya siku moja!. Nilishiriki ile kampeni ta TEA kutafuta michango ya kusaidia elimu, au michango ya kuchangia huduma za afya na hata kunapotokea majanga mbalimbali jinsi watu na taasisi wanavyojitokeza kwa kusuasua, na kuchangia siasa, bilioni 100 fasta ndani ya siku moja!. Hii maana yake siasa zetu za kisasa ni siasa za fedha!, mwenye nacho anaongezewa, na asianacho ananyanganywa hata kile kidogo alichonacho!.

Pesa ndefu kwa lugha ya watoto wa mjini, inaitwa ‘kisu’, mwenye kisu kikali ndio anakula nyama!,

Ombi kwa Vyama, Wanasiasa na Wananchi, japo siasa zetu sasa siasa za pesa mbele, natoa wito “Tusitumie pesa kama fimbo” ya kuwachapia, vyama visivyo na pesa na viongozi wazuri wasio na pesa, kwa kutokuwachagua kutokana na kutokuwa na pesa, mafukara au kuwa na mkono mtupu!. Kuna watu wana pesa ndefu lakini ni viongozi mabomu, na kuna watu hawana kitu kabisa lakini ni viongozi wazuri. Tusitumie pesa kama fimbo ya kuwachagua wenye nazo na kuwachapia wasio nazo!.

Wananchi, wanasiasa, wenye nazo, wakimwaga pesa, wananchi, chukueni!, vyama vikigawa takrima, tshet, kofia, khanga na vitenge, pokeeni, watakao walisha watu ubwabwa, biryani na pilau, kuleni, lakini siku ya uchaguzi, nenda kachague kiongozi bora, hata kama hana kitu!. Uongozi ni uwezo wa kiongozi kutuletea maendeleo na sio uwezo wa kiongozi au chama kutumwagia mapesa!.

Tukachague viongozi bora na sio tukachague viongozi mli mradi ni kiongozi, yaani bora kiongozi kwasababu tuu ana pesa, na amemwaga pesa!.

Japo TAKUKURU ipo, lakini amini nakuambia, Takukuru hamna kitu kwa kinachoendelea!. Kama mchago tuu kutachingia chama, watu wamemwaga mabilioni, bila kujua yametoka wapi, TRA kimya, Takukuru ataweza kufanya nini?!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali.
 
Unatakaje uongozi na pesa huna?

Yaani umeshindwa kujiongoza mwenyewe ukapata pesa, unataka kuja kutuongoza sisi tupate maendeleo?

Ukipata uongozi si utakula sana pesa za umma?

Wanaotupa hela ndio tuwape uongozi.
 
Ndugu yangu Kaka yangu mwandamizi PASCO.

Nafurah kukuona, nilikuona last time kwenye nane nane ukifanya mahojiano na wauza vifaa vya kilimo.

Happy to see you,

Anyway back to the topic,

Kwa SASA tulipofika ni pabaya mnooo

Kama ccm na kiongozi mkuu anapokea pesa haram za wenye hela, yaan paka SASA Kama nchi tushapotea
 
Unamita mtu MHUJUMU UCHUMI JUZI TU HAPA. SINGASINGA. Anatoa mpaka pesa aachiliwe manake ana kiri kosa.
Leo bila soni w ala AIBU anaalikwa kwenye HARAMBEE KISHA ANACHANGIA? KISHA BADO UNAFURAHA?
MWAFRICA WAKE NI UTUMWA BADO.
NDO MANA TULIUZWA UTUMWANI ILIKUWA SAHIHI KABISA
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo
View attachment 3443935
Leo, naanza kwa maneno ya nyimbo mbili za zamani za muziki wa dansi, wa kwanza ni wimbo Fukara Hapendeki ulioimbwa na mwanamuzi Shabani Dede na bendi ya muziki ya Juwata Jazz Bend, JJB, wana Msondo Ngoma na wimbo wa pili ni Pesa Sabuni ya Roho wa Jabali la Muziki, Marijani Rajabu na Dar International.

Wimbo wa Fukara Hapendeki una maneno haya
“Nimekumbuka yangu ya dunia,
Maneno baba aliyoniambia,
Fukara hapendeki mbele za watu hata kidogo
Lolote asemalo wao watacheka,
Na kumuona bure tena hayawani,
Hata lenye maana watadharau na kupuuza,
Mola akikujalia na kazi ukipata,
Maisha raha sana, watakuona wa maana
Dharau haifai, na tena mbaya sana,
Muone kama mtu sio mpaka awe na kitu
Chorous
“Utu ni tabia njema, na wala sio pesa

Ada ya mja hunena, muungwaana ni kitendo”

Kisha nikamkumbuka Jabali la Muziki, Marijani Rajab, kwenye wimbo wake, Pesa Sabuni ya Roho, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni

"Umasikini, japo hutokea kwa wananadamu,
lakini hakuna anayeupenda
Mli mradi mtu ufanyeje,
Huna la kufanya aha maua,
Oh masikini mie…

Hukufanya uwe mnyonge siku hadi siku,
Mnyonge pia huwa hana haki,
Mpaka mwenye nguvu apende.
Nalia mwana maua,
Oh masikini mie…
Chorous
“ Pesa pesa, pesa ndio sabuni ya roho
mwenye pesa, mwenye pesa sio mwenzio, nasema… x 2
kila penye uzia wewe penyeza rupia, jamani pesa ohh, ilivunja ng’ombe na milima, wakale walisema,
Chorous

Mwenye pesa akifika, watu wote husimama, kila analolisema watu hulipa uzito, pesa pesa,
Chorous

Nimeyakumbuka maneno haya, kufuatilia mchaka mchaka wa harakati za vyama vya siasa kujiandaa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, japo lengo kuu la uchaguzi ni kupata viongozi bora, na sio bora viongozi, na hakuna ubishi, kuhusu umuhimu wa fedha za kugharimia kampeni za uchaguzi, enzi zetu za zamani, enzi zile za TANU, namna ya kuwaita watu kwenye mikutano ya hadhara, ilikuwa ni inapigwa tuu mbiu, au lamgambo likilia, watu wanakusanyika, wakijua kuna jambo, watu walikuwa wanachangishwa senti tano tano, senti kumi, senti 20, thumuni na shilingi moja!, enzi hizi kulikuwa na noti ya silingi tano!.

Enzi hizo, sifa kuu za uongozi ni uwezo wa mtu na kujituma kwake kutumikia jamii, na sio fedha, Chama cha TANU na baadae CCM ni chama cha makabwela, ni chama cha wanyonge, ni chama cha wakulima na wafanyakazi.

Baada ya TANU kutangaza siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, pia kiliweka miiko ya uongozi, utajiri ulikuwa ni disqualification, matajiri walikuwa ni ama wafanyabiashara walioitwa, mabepari, ama wamiliki wa aridhi na mashamba makubwa walioitwa makabaila, ama wamiliki wa majumba walioitwa ma bwanyenye. Mwalimu Nyerere akatoa ile misingi minne ya ili tuendelee tunahitaji vitu vinne, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, fedha sii msingi, fedha ni matokeo!.

Kufuatia maendeleo na mabadiliko ya usasa, mambo yakabadilika, maisha nayo yamebadilika, maisha ya zamani yalikuwa maisha ya ukweli, kuliko maisha ya vitu, kwa kizungu “life wa more realistic than materialistic”, lakini sasa maisha ni kama unakitu, yaani “life is more materialistic than realistic”, thamani ya mtu sio tena ule utu wake bali anaangaliwa ana nini?, kama hana kitu, wewe ni lofa tuu!. Heshima ya mtu sasa sio utu ni pesa!, sasa pesa imekuwa ndio kila kitu!.

CCM nayo ikabadilika, Azimio la Arusha likazikwa, likaibuka Azimio la Zanzibar, likaifuta ile miiko ya uongozi, siasa zikageuzwa fedha, viongozi wakaanza kuwa majajiri na ukitaka uongozi, sasa kipimo cha kwanza ni sio tena sifa za uongozi, bali sasa ni fedha!. Zamani fomu za uongozi ni bure, leo fomu za uongozi ni fedha, Udiwani laki, ubunge, milioni, urais milioni 5!. Akina pangu pakavu tia mchuzi, kama huna pesa, huna chako, mkono mtupu haulambwi!. Ungozi wa kisasa ni uongozi wa kununua, lazima uwe na fedha za kununua fomu!.

Siku hizi, pesa ndio sifa ya kwanza ya kugombea uongozi, hivyo wakati vyama vinachangisha fedha kugarimia uchaguzi, tumeshuhudia matajiri wakijitokeza kwa wingi kugharimia harambee ya chama cha siasa, na shilingi bilioni 100, zimepatikana ndani ya siku moja!. Nilishiriki ile kampeni ta TEA kutafuta michango ya kusaidia elimu, au michango ya kuchangia huduma za afya na hata kunapotokea majanga mbalimbali jinsi watu na taasisi wanavyojitokeza kwa kusuasua, na kuchangia siasa, bilioni 100 fasta ndani ya siku moja!. Hii maana yake siasa zetu za kisasa ni siasa za fedha!, mwenye nacho anaongezewa, na asianacho ananyanganywa hata kile kidogo alichonacho!.

Pesa ndefu kwa lugha ya watoto wa mjini, inaitwa ‘kisu’, mwenye kisu kikali ndio anakula nyama!,

Ombi kwa Vyama, Wanasiasa na Wananchi, japo siasa zetu sasa siasa za pesa mbele, natoa wito “Tusitumie pesa kama fimbo” ya kuwachapia, vyama visivyo na pesa na viongozi wazuri wasio na pesa, kwa kutokuwachagua kutokana na kutokuwa na pesa, mafukara au kuwa na mkono mtupu!. Kuna watu wana pesa ndefu lakini ni viongozi mabomu, na kuna watu hawana kitu kabisa lakini ni viongozi wazuri. Tusitumie pesa kama fimbo ya kuwachagua wenye nazo na kuwachapia wasio nazo!.

Wananchi, wanasiasa, wenye nazo, wakimwaga pesa, wananchi, chukueni!, vyama vikigawa takrima, tshet, kofia, khanga na vitenge, pokeeni, watakao walisha watu ubwabwa, biryani na pilau, kuleni, lakini siku ya uchaguzi, nenda kachague kiongozi bora, hata kama hana kitu!. Uongozi ni uwezo wa kiongozi kutuletea maendeleo na sio uwezo wa kiongozi au chama kutumwagia mapesa!.

Tukachague viongozi bora na sio tukachague viongozi mli mradi ni kiongozi, yaani bora kiongozi kwasababu tuu ana pesa, na amemwaga pesa!.

Japo TAKUKURU ipo, lakini amini nakuambia, Takukuru hamna kitu kwa kinachoendelea!. Kama mchago tuu kutachingia chama, watu wamemwaga mabilioni, bila kujua yametoka wapi, TRA kimya, Takukuru ataweza kufanya nini?!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali.

Hao Wagombea wa Uchaguzi ambao wanaweza kuwa Viongozi Bora utawapata wapi hasa ndani ya CCM?
Always, Mtoto wa nyoka ni nyoka!

Je, haujaona kwamba kenge Luhaga Mpina ametimuliwa vibaya sana wakati alipojichanganya na kujiingiza kwenye Kundi la nyoka??
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo
View attachment 3443935
Leo, naanza kwa maneno ya nyimbo mbili za zamani za muziki wa dansi, wa kwanza ni wimbo Fukara Hapendeki ulioimbwa na mwanamuzi Shabani Dede na bendi ya muziki ya Juwata Jazz Bend, JJB, wana Msondo Ngoma na wimbo wa pili ni Pesa Sabuni ya Roho wa Jabali la Muziki, Marijani Rajabu na Dar International.

Wimbo wa Fukara Hapendeki una maneno haya
“Nimekumbuka yangu ya dunia,
Maneno baba aliyoniambia,
Fukara hapendeki mbele za watu hata kidogo
Lolote asemalo wao watacheka,
Na kumuona bure tena hayawani,
Hata lenye maana watadharau na kupuuza,
Mola akikujalia na kazi ukipata,
Maisha raha sana, watakuona wa maana
Dharau haifai, na tena mbaya sana,
Muone kama mtu sio mpaka awe na kitu
Chorous
“Utu ni tabia njema, na wala sio pesa

Ada ya mja hunena, muungwaana ni kitendo”

View: https://youtu.be/rJ3G4fNRybw?si=N1VbM4vhbOelv7_j

Kisha nikamkumbuka Jabali la Muziki, Marijani Rajab, kwenye wimbo wake, Pesa Sabuni ya Roho, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni

"Umasikini, japo hutokea kwa wananadamu,
lakini hakuna anayeupenda
Mli mradi mtu ufanyeje,
Huna la kufanya aha maua,
Oh masikini mie…

Hukufanya uwe mnyonge siku hadi siku,
Mnyonge pia huwa hana haki,
Mpaka mwenye nguvu apende.
Nalia mwana maua,
Oh masikini mie…
Chorous
“ Pesa pesa, pesa ndio sabuni ya roho
mwenye pesa, mwenye pesa sio mwenzio, nasema… x 2
kila penye uzia wewe penyeza rupia, jamani pesa ohh, ilivunja ng’ombe na milima, wakale walisema,
Chorous

Mwenye pesa akifika, watu wote husimama, kila analolisema watu hulipa uzito, pesa pesa,

View: https://youtu.be/dRc5I3GnErM?si=zkyBPWlSJgV0JplF

Nimeyakumbuka maneno haya, kufuatilia mchaka mchaka wa harakati za vyama vya siasa kujiandaa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, japo lengo kuu la uchaguzi ni kupata viongozi bora, na sio bora viongozi, na hakuna ubishi, kuhusu umuhimu wa fedha za kugharimia kampeni za uchaguzi, enzi zetu za zamani, enzi zile za TANU, namna ya kuwaita watu kwenye mikutano ya hadhara, ilikuwa ni inapigwa tuu mbiu, au lamgambo likilia, watu wanakusanyika, wakijua kuna jambo, watu walikuwa wanachangishwa senti tano tano, senti kumi, senti 20, thumuni na shilingi moja!, enzi hizi kulikuwa na noti ya silingi tano!.

Enzi hizo, sifa kuu za uongozi ni uwezo wa mtu na kujituma kwake kutumikia jamii, na sio fedha, Chama cha TANU na baadae CCM ni chama cha makabwela, ni chama cha wanyonge, ni chama cha wakulima na wafanyakazi.

Baada ya TANU kutangaza siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, pia kiliweka miiko ya uongozi, utajiri ulikuwa ni disqualification, matajiri walikuwa ni ama wafanyabiashara walioitwa, mabepari, ama wamiliki wa aridhi na mashamba makubwa walioitwa makabaila, ama wamiliki wa majumba walioitwa ma bwanyenye. Mwalimu Nyerere akatoa ile misingi minne ya ili tuendelee tunahitaji vitu vinne, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, fedha sii msingi, fedha ni matokeo!.

Kufuatia maendeleo na mabadiliko ya usasa, mambo yakabadilika, maisha nayo yamebadilika, maisha ya zamani yalikuwa maisha ya ukweli, kuliko maisha ya vitu, kwa kizungu “life wa more realistic than materialistic”, lakini sasa maisha ni kama unakitu, yaani “life is more materialistic than realistic”, thamani ya mtu sio tena ule utu wake bali anaangaliwa ana nini?, kama hana kitu, wewe ni lofa tuu!. Heshima ya mtu sasa sio utu ni pesa!, sasa pesa imekuwa ndio kila kitu!.

CCM nayo ikabadilika, Azimio la Arusha likazikwa, likaibuka Azimio la Zanzibar, likaifuta ile miiko ya uongozi, siasa zikageuzwa fedha, viongozi wakaanza kuwa majajiri na ukitaka uongozi, sasa kipimo cha kwanza ni sio tena sifa za uongozi, bali sasa ni fedha!. Zamani fomu za uongozi ni bure, leo fomu za uongozi ni fedha, Udiwani laki, ubunge, milioni, urais milioni 5!. Akina pangu pakavu tia mchuzi, kama huna pesa, huna chako, mkono mtupu haulambwi!. Ungozi wa kisasa ni uongozi wa kununua, lazima uwe na fedha za kununua fomu!.

Siku hizi, pesa ndio sifa ya kwanza ya kugombea uongozi, hivyo wakati vyama vinachangisha fedha kugarimia uchaguzi, tumeshuhudia matajiri wakijitokeza kwa wingi kugharimia harambee ya chama cha siasa, na shilingi bilioni 100, zimepatikana ndani ya siku moja!. Nilishiriki ile kampeni ta TEA kutafuta michango ya kusaidia elimu, au michango ya kuchangia huduma za afya na hata kunapotokea majanga mbalimbali jinsi watu na taasisi wanavyojitokeza kwa kusuasua, na kuchangia siasa, bilioni 100 fasta ndani ya siku moja!. Hii maana yake siasa zetu za kisasa ni siasa za fedha!, mwenye nacho anaongezewa, na asianacho ananyanganywa hata kile kidogo alichonacho!.

Pesa ndefu kwa lugha ya watoto wa mjini, inaitwa ‘kisu’, mwenye kisu kikali ndio anakula nyama!,

Ombi kwa Vyama, Wanasiasa na Wananchi, japo siasa zetu sasa siasa za pesa mbele, natoa wito “Tusitumie pesa kama fimbo” ya kuwachapia, vyama visivyo na pesa na viongozi wazuri wasio na pesa, kwa kutokuwachagua kutokana na kutokuwa na pesa, mafukara au kuwa na mkono mtupu!. Kuna watu wana pesa ndefu lakini ni viongozi mabomu, na kuna watu hawana kitu kabisa lakini ni viongozi wazuri. Tusitumie pesa kama fimbo ya kuwachagua wenye nazo na kuwachapia wasio nazo!.

Wananchi, wanasiasa, wenye nazo, wakimwaga pesa, wananchi, chukueni!, vyama vikigawa takrima, tshet, kofia, khanga na vitenge, pokeeni, watakao walisha watu ubwabwa, biryani na pilau, kuleni, lakini siku ya uchaguzi, nenda kachague kiongozi bora, hata kama hana kitu!. Uongozi ni uwezo wa kiongozi kutuletea maendeleo na sio uwezo wa kiongozi au chama kutumwagia mapesa!.

Tukachague viongozi bora na sio tukachague viongozi mli mradi ni kiongozi, yaani bora kiongozi kwasababu tuu ana pesa, na amemwaga pesa!.

Japo TAKUKURU ipo, lakini amini nakuambia, Takukuru hamna kitu kwa kinachoendelea!. Kama mchago tuu kutachingia chama, watu wamemwaga mabilioni, bila kujua yametoka wapi, TRA kimya, Takukuru ataweza kufanya nini?!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali.

Swali je uchaguzi huu hawataenda maporini?
 
Unamita mtu MHUJUMU UCHUMI JUZI TU HAPA. SINGASINGA. Anatoa mpaka pesa aachiliwe manake ana kiri kosa.
Leo bila soni w ala AIBU anaalikwa kwenye HARAMBEE KISHA ANACHANGIA? KISHA BADO UNAFURAHA?
MWAFRICA WAKE NI UTUMWA BADO.
NDO MANA TULIUZWA UTUMWANI ILIKUWA SAHIHI KABISA
Lile halikuwa zoezi la Harambee ya Kuchangia Fedha za Uchaguzi, bali ilikuwa ni STATE CAPTURE Process na kuikabidhi/kuisalimisha nchi hii pamoja na sovereignty yake mikononi mwa Walanguzi.

Mwl. J.K. Nyerere aliwahi kusema kwamba "Ikulu ni mahali patakatifu ...."
Je, kwa Sasa hivi kweli Ikulu bado ni mahali patakatifu?? Je, Utakatifu wa Ikulu bado upo kama enzi zile za Mwl. Nyerere au Ikulu tayari imegeuzwa kuwa pango la Walanguzi????
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo
View attachment 3443935
Leo, naanza kwa maneno ya nyimbo mbili za zamani za muziki wa dansi, wa kwanza ni wimbo Fukara Hapendeki ulioimbwa na mwanamuzi Shabani Dede na bendi ya muziki ya Juwata Jazz Bend, JJB, wana Msondo Ngoma na wimbo wa pili ni Pesa Sabuni ya Roho wa Jabali la Muziki, Marijani Rajabu na Dar International.

Wimbo wa Fukara Hapendeki una maneno haya
“Nimekumbuka yangu ya dunia,
Maneno baba aliyoniambia,
Fukara hapendeki mbele za watu hata kidogo
Lolote asemalo wao watacheka,
Na kumuona bure tena hayawani,
Hata lenye maana watadharau na kupuuza,
Mola akikujalia na kazi ukipata,
Maisha raha sana, watakuona wa maana
Dharau haifai, na tena mbaya sana,
Muone kama mtu sio mpaka awe na kitu
Chorous
“Utu ni tabia njema, na wala sio pesa

Ada ya mja hunena, muungwaana ni kitendo”

View: https://youtu.be/rJ3G4fNRybw?si=N1VbM4vhbOelv7_j

Kisha nikamkumbuka Jabali la Muziki, Marijani Rajab, kwenye wimbo wake, Pesa Sabuni ya Roho, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni

"Umasikini, japo hutokea kwa wananadamu,
lakini hakuna anayeupenda
Mli mradi mtu ufanyeje,
Huna la kufanya aha maua,
Oh masikini mie…

Hukufanya uwe mnyonge siku hadi siku,
Mnyonge pia huwa hana haki,
Mpaka mwenye nguvu apende.
Nalia mwana maua,
Oh masikini mie…
Chorous
“ Pesa pesa, pesa ndio sabuni ya roho
mwenye pesa, mwenye pesa sio mwenzio, nasema… x 2
kila penye uzia wewe penyeza rupia, jamani pesa ohh, ilivunja ng’ombe na milima, wakale walisema,
Chorous

Mwenye pesa akifika, watu wote husimama, kila analolisema watu hulipa uzito, pesa pesa,

View: https://youtu.be/dRc5I3GnErM?si=zkyBPWlSJgV0JplF

Nimeyakumbuka maneno haya, kufuatilia mchaka mchaka wa harakati za vyama vya siasa kujiandaa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, japo lengo kuu la uchaguzi ni kupata viongozi bora, na sio bora viongozi, na hakuna ubishi, kuhusu umuhimu wa fedha za kugharimia kampeni za uchaguzi, enzi zetu za zamani, enzi zile za TANU, namna ya kuwaita watu kwenye mikutano ya hadhara, ilikuwa ni inapigwa tuu mbiu, au lamgambo likilia, watu wanakusanyika, wakijua kuna jambo, watu walikuwa wanachangishwa senti tano tano, senti kumi, senti 20, thumuni na shilingi moja!, enzi hizi kulikuwa na noti ya silingi tano!.

Enzi hizo, sifa kuu za uongozi ni uwezo wa mtu na kujituma kwake kutumikia jamii, na sio fedha, Chama cha TANU na baadae CCM ni chama cha makabwela, ni chama cha wanyonge, ni chama cha wakulima na wafanyakazi.

Baada ya TANU kutangaza siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, pia kiliweka miiko ya uongozi, utajiri ulikuwa ni disqualification, matajiri walikuwa ni ama wafanyabiashara walioitwa, mabepari, ama wamiliki wa aridhi na mashamba makubwa walioitwa makabaila, ama wamiliki wa majumba walioitwa ma bwanyenye. Mwalimu Nyerere akatoa ile misingi minne ya ili tuendelee tunahitaji vitu vinne, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, fedha sii msingi, fedha ni matokeo!.

Kufuatia maendeleo na mabadiliko ya usasa, mambo yakabadilika, maisha nayo yamebadilika, maisha ya zamani yalikuwa maisha ya ukweli, kuliko maisha ya vitu, kwa kizungu “life wa more realistic than materialistic”, lakini sasa maisha ni kama unakitu, yaani “life is more materialistic than realistic”, thamani ya mtu sio tena ule utu wake bali anaangaliwa ana nini?, kama hana kitu, wewe ni lofa tuu!. Heshima ya mtu sasa sio utu ni pesa!, sasa pesa imekuwa ndio kila kitu!.

CCM nayo ikabadilika, Azimio la Arusha likazikwa, likaibuka Azimio la Zanzibar, likaifuta ile miiko ya uongozi, siasa zikageuzwa fedha, viongozi wakaanza kuwa majajiri na ukitaka uongozi, sasa kipimo cha kwanza ni sio tena sifa za uongozi, bali sasa ni fedha!. Zamani fomu za uongozi ni bure, leo fomu za uongozi ni fedha, Udiwani laki, ubunge, milioni, urais milioni 5!. Akina pangu pakavu tia mchuzi, kama huna pesa, huna chako, mkono mtupu haulambwi!. Ungozi wa kisasa ni uongozi wa kununua, lazima uwe na fedha za kununua fomu!.

Siku hizi, pesa ndio sifa ya kwanza ya kugombea uongozi, hivyo wakati vyama vinachangisha fedha kugarimia uchaguzi, tumeshuhudia matajiri wakijitokeza kwa wingi kugharimia harambee ya chama cha siasa, na shilingi bilioni 100, zimepatikana ndani ya siku moja!. Nilishiriki ile kampeni ta TEA kutafuta michango ya kusaidia elimu, au michango ya kuchangia huduma za afya na hata kunapotokea majanga mbalimbali jinsi watu na taasisi wanavyojitokeza kwa kusuasua, na kuchangia siasa, bilioni 100 fasta ndani ya siku moja!. Hii maana yake siasa zetu za kisasa ni siasa za fedha!, mwenye nacho anaongezewa, na asianacho ananyanganywa hata kile kidogo alichonacho!.

Pesa ndefu kwa lugha ya watoto wa mjini, inaitwa ‘kisu’, mwenye kisu kikali ndio anakula nyama!,

Ombi kwa Vyama, Wanasiasa na Wananchi, japo siasa zetu sasa siasa za pesa mbele, natoa wito “Tusitumie pesa kama fimbo” ya kuwachapia, vyama visivyo na pesa na viongozi wazuri wasio na pesa, kwa kutokuwachagua kutokana na kutokuwa na pesa, mafukara au kuwa na mkono mtupu!. Kuna watu wana pesa ndefu lakini ni viongozi mabomu, na kuna watu hawana kitu kabisa lakini ni viongozi wazuri. Tusitumie pesa kama fimbo ya kuwachagua wenye nazo na kuwachapia wasio nazo!.

Wananchi, wanasiasa, wenye nazo, wakimwaga pesa, wananchi, chukueni!, vyama vikigawa takrima, tshet, kofia, khanga na vitenge, pokeeni, watakao walisha watu ubwabwa, biryani na pilau, kuleni, lakini siku ya uchaguzi, nenda kachague kiongozi bora, hata kama hana kitu!. Uongozi ni uwezo wa kiongozi kutuletea maendeleo na sio uwezo wa kiongozi au chama kutumwagia mapesa!.

Tukachague viongozi bora na sio tukachague viongozi mli mradi ni kiongozi, yaani bora kiongozi kwasababu tuu ana pesa, na amemwaga pesa!.

Japo TAKUKURU ipo, lakini amini nakuambia, Takukuru hamna kitu kwa kinachoendelea!. Kama mchago tuu kutachingia chama, watu wamemwaga mabilioni, bila kujua yametoka wapi, TRA kimya, Takukuru ataweza kufanya nini?!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali.

Mtu mwenye akili timamu, uelewa
Hawezi kukaa foleni na kupiga kura

Ova
 
Wananchi hatuchagui watawala nchi hii watawala hujiweka madarakani kwa kivuli cha uchaguzi.

Wewe unafahamu kupiga kura siyo lazima na hata tusipopiga watashinda, sasa kwanini tupoteze muda.

Tusipige kura ili wajiingize madarakani kuliko kuwasaidia kuingia madarakani.
 
Lile halikuwa zoezi la Harambee ya Kuchangia Fedha za Uchaguzi, bali ilikuwa ni STATE CAPTURE Process na kuikabidhi/kuisalimisha nchi hii pamoja na sovereignty yake mikononi mwa Walanguzi.
Na wenyewe ccm wanafuraha na amani kabisa. Juzi hapa walitwambia tonetone itaenda kununua ebola haya na hii ya kina singasinga intaenda kununua IKULU SAWA!
 
Mi naona tatizo kubwa ni katiba yetu, haiwezekani mtu mwenye uwezo mdg kama sa100 eti ndio tumuone the best kutuongoza watu zaidi ya mil 60!!.
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo
View attachment 3443935
Leo, naanza kwa maneno ya nyimbo mbili za zamani za muziki wa dansi, wa kwanza ni wimbo Fukara Hapendeki ulioimbwa na mwanamuzi Shabani Dede na bendi ya muziki ya Juwata Jazz Bend, JJB, wana Msondo Ngoma na wimbo wa pili ni Pesa Sabuni ya Roho wa Jabali la Muziki, Marijani Rajabu na Dar International.

Wimbo wa Fukara Hapendeki una maneno haya
“Nimekumbuka yangu ya dunia,
Maneno baba aliyoniambia,
Fukara hapendeki mbele za watu hata kidogo
Lolote asemalo wao watacheka,
Na kumuona bure tena hayawani,
Hata lenye maana watadharau na kupuuza,
Mola akikujalia na kazi ukipata,
Maisha raha sana, watakuona wa maana
Dharau haifai, na tena mbaya sana,
Muone kama mtu sio mpaka awe na kitu
Chorous
“Utu ni tabia njema, na wala sio pesa

Ada ya mja hunena, muungwaana ni kitendo”

View: https://youtu.be/rJ3G4fNRybw?si=N1VbM4vhbOelv7_j

Kisha nikamkumbuka Jabali la Muziki, Marijani Rajab, kwenye wimbo wake, Pesa Sabuni ya Roho, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni

"Umasikini, japo hutokea kwa wananadamu,
lakini hakuna anayeupenda
Mli mradi mtu ufanyeje,
Huna la kufanya aha maua,
Oh masikini mie…

Hukufanya uwe mnyonge siku hadi siku,
Mnyonge pia huwa hana haki,
Mpaka mwenye nguvu apende.
Nalia mwana maua,
Oh masikini mie…
Chorous
“ Pesa pesa, pesa ndio sabuni ya roho
mwenye pesa, mwenye pesa sio mwenzio, nasema… x 2
kila penye uzia wewe penyeza rupia, jamani pesa ohh, ilivunja ng’ombe na milima, wakale walisema,
Chorous

Mwenye pesa akifika, watu wote husimama, kila analolisema watu hulipa uzito, pesa pesa,

View: https://youtu.be/dRc5I3GnErM?si=zkyBPWlSJgV0JplF

Nimeyakumbuka maneno haya, kufuatilia mchaka mchaka wa harakati za vyama vya siasa kujiandaa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, japo lengo kuu la uchaguzi ni kupata viongozi bora, na sio bora viongozi, na hakuna ubishi, kuhusu umuhimu wa fedha za kugharimia kampeni za uchaguzi, enzi zetu za zamani, enzi zile za TANU, namna ya kuwaita watu kwenye mikutano ya hadhara, ilikuwa ni inapigwa tuu mbiu, au lamgambo likilia, watu wanakusanyika, wakijua kuna jambo, watu walikuwa wanachangishwa senti tano tano, senti kumi, senti 20, thumuni na shilingi moja!, enzi hizi kulikuwa na noti ya silingi tano!.

Enzi hizo, sifa kuu za uongozi ni uwezo wa mtu na kujituma kwake kutumikia jamii, na sio fedha, Chama cha TANU na baadae CCM ni chama cha makabwela, ni chama cha wanyonge, ni chama cha wakulima na wafanyakazi.

Baada ya TANU kutangaza siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, pia kiliweka miiko ya uongozi, utajiri ulikuwa ni disqualification, matajiri walikuwa ni ama wafanyabiashara walioitwa, mabepari, ama wamiliki wa aridhi na mashamba makubwa walioitwa makabaila, ama wamiliki wa majumba walioitwa ma bwanyenye. Mwalimu Nyerere akatoa ile misingi minne ya ili tuendelee tunahitaji vitu vinne, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, fedha sii msingi, fedha ni matokeo!.

Kufuatia maendeleo na mabadiliko ya usasa, mambo yakabadilika, maisha nayo yamebadilika, maisha ya zamani yalikuwa maisha ya ukweli, kuliko maisha ya vitu, kwa kizungu “life wa more realistic than materialistic”, lakini sasa maisha ni kama unakitu, yaani “life is more materialistic than realistic”, thamani ya mtu sio tena ule utu wake bali anaangaliwa ana nini?, kama hana kitu, wewe ni lofa tuu!. Heshima ya mtu sasa sio utu ni pesa!, sasa pesa imekuwa ndio kila kitu!.

CCM nayo ikabadilika, Azimio la Arusha likazikwa, likaibuka Azimio la Zanzibar, likaifuta ile miiko ya uongozi, siasa zikageuzwa fedha, viongozi wakaanza kuwa majajiri na ukitaka uongozi, sasa kipimo cha kwanza ni sio tena sifa za uongozi, bali sasa ni fedha!. Zamani fomu za uongozi ni bure, leo fomu za uongozi ni fedha, Udiwani laki, ubunge, milioni, urais milioni 5!. Akina pangu pakavu tia mchuzi, kama huna pesa, huna chako, mkono mtupu haulambwi!. Ungozi wa kisasa ni uongozi wa kununua, lazima uwe na fedha za kununua fomu!.

Siku hizi, pesa ndio sifa ya kwanza ya kugombea uongozi, hivyo wakati vyama vinachangisha fedha kugarimia uchaguzi, tumeshuhudia matajiri wakijitokeza kwa wingi kugharimia harambee ya chama cha siasa, na shilingi bilioni 100, zimepatikana ndani ya siku moja!. Nilishiriki ile kampeni ta TEA kutafuta michango ya kusaidia elimu, au michango ya kuchangia huduma za afya na hata kunapotokea majanga mbalimbali jinsi watu na taasisi wanavyojitokeza kwa kusuasua, na kuchangia siasa, bilioni 100 fasta ndani ya siku moja!. Hii maana yake siasa zetu za kisasa ni siasa za fedha!, mwenye nacho anaongezewa, na asianacho ananyanganywa hata kile kidogo alichonacho!.

Pesa ndefu kwa lugha ya watoto wa mjini, inaitwa ‘kisu’, mwenye kisu kikali ndio anakula nyama!,

Ombi kwa Vyama, Wanasiasa na Wananchi, japo siasa zetu sasa siasa za pesa mbele, natoa wito “Tusitumie pesa kama fimbo” ya kuwachapia, vyama visivyo na pesa na viongozi wazuri wasio na pesa, kwa kutokuwachagua kutokana na kutokuwa na pesa, mafukara au kuwa na mkono mtupu!. Kuna watu wana pesa ndefu lakini ni viongozi mabomu, na kuna watu hawana kitu kabisa lakini ni viongozi wazuri. Tusitumie pesa kama fimbo ya kuwachagua wenye nazo na kuwachapia wasio nazo!.

Wananchi, wanasiasa, wenye nazo, wakimwaga pesa, wananchi, chukueni!, vyama vikigawa takrima, tshet, kofia, khanga na vitenge, pokeeni, watakao walisha watu ubwabwa, biryani na pilau, kuleni, lakini siku ya uchaguzi, nenda kachague kiongozi bora, hata kama hana kitu!. Uongozi ni uwezo wa kiongozi kutuletea maendeleo na sio uwezo wa kiongozi au chama kutumwagia mapesa!.

Tukachague viongozi bora na sio tukachague viongozi mli mradi ni kiongozi, yaani bora kiongozi kwasababu tuu ana pesa, na amemwaga pesa!.

Japo TAKUKURU ipo, lakini amini nakuambia, Takukuru hamna kitu kwa kinachoendelea!. Kama mchago tuu kutachingia chama, watu wamemwaga mabilioni, bila kujua yametoka wapi, TRA kimya, Takukuru ataweza kufanya nini?!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali.

Sisi tawala huo c utaratibu wetu msee utaratibu ni pesa tu!!
 
Ndugu Paskali, umenena mambo mema lakini unaowatumia ujumbe kwa kiwango kikubwa walishajikatia tamaa.
Asilimia kubwa ya wapiga kura wanachagua mtu aliyewapa pesa wakidai kuwa mtu anapocjaguliwa kwenye nafasi yoyote ya uwakilishi hupata mihela mingi, hivyo na wao lazima wamchomoe chochote.

Wasipompigia kura ilhali wamekula pesa yake, wanaona kuwa ni dhambi au hujuma.

Ukweli umeueleza wazi kuwa chaguzi za siku hizi zimejaa rushwa. Juzi kulikuwa na Uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM. Yaliyojitokeza ni aibu tupu! Baadhi ya wagombea Udiwani na Ubunge kupitia machawa wao walikuwa wanagawa pesa kwa wajumbe utadhani kutoa rushwa ni sifa ya kuomba uongozi kwenye Chama hiki.

Watakaopitishwa na CCM kugombea Udiwani na Ubunge yaweza kuwa ndio hao walioshinda kura za maoni. Hao ndio wanaenda kushindana na wagombea wa Vyama vingine ACT, CHAUMMA na tuvyama sindikiza twingine. Sasa hapo unategemea Nini??

Hao bora viongozi tutawapata tu maana tangu huko kwenye kura za maoni wengi wao wamepita kwa rushwa.

Aidha hakuna fairness kuanzia kwenye zoezi zima la kupiga kura mpaka kwenye kutangaza matokeo. Anayetakiwa ndiye anakuwa.

Kwa kifupi UChaguzi siku hizi unakuwa na maana zaidi kwa wanaotafuta kuchaguliwa kuliko wanaochagua. Inakatisha tamaa!
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo
View attachment 3443935
Leo, naanza kwa maneno ya nyimbo mbili za zamani za muziki wa dansi, wa kwanza ni wimbo Fukara Hapendeki ulioimbwa na mwanamuzi Shabani Dede na bendi ya muziki ya Juwata Jazz Bend, JJB, wana Msondo Ngoma na wimbo wa pili ni Pesa Sabuni ya Roho wa Jabali la Muziki, Marijani Rajabu na Dar International.

Wimbo wa Fukara Hapendeki una maneno haya
“Nimekumbuka yangu ya dunia,
Maneno baba aliyoniambia,
Fukara hapendeki mbele za watu hata kidogo
Lolote asemalo wao watacheka,
Na kumuona bure tena hayawani,
Hata lenye maana watadharau na kupuuza,
Mola akikujalia na kazi ukipata,
Maisha raha sana, watakuona wa maana
Dharau haifai, na tena mbaya sana,
Muone kama mtu sio mpaka awe na kitu
Chorous
“Utu ni tabia njema, na wala sio pesa

Ada ya mja hunena, muungwaana ni kitendo”

View: https://youtu.be/rJ3G4fNRybw?si=N1VbM4vhbOelv7_j

Kisha nikamkumbuka Jabali la Muziki, Marijani Rajab, kwenye wimbo wake, Pesa Sabuni ya Roho, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni

"Umasikini, japo hutokea kwa wananadamu,
lakini hakuna anayeupenda
Mli mradi mtu ufanyeje,
Huna la kufanya aha maua,
Oh masikini mie…

Hukufanya uwe mnyonge siku hadi siku,
Mnyonge pia huwa hana haki,
Mpaka mwenye nguvu apende.
Nalia mwana maua,
Oh masikini mie…
Chorous
“ Pesa pesa, pesa ndio sabuni ya roho
mwenye pesa, mwenye pesa sio mwenzio, nasema… x 2
kila penye uzia wewe penyeza rupia, jamani pesa ohh, ilivunja ng’ombe na milima, wakale walisema,
Chorous

Mwenye pesa akifika, watu wote husimama, kila analolisema watu hulipa uzito, pesa pesa,

View: https://youtu.be/dRc5I3GnErM?si=zkyBPWlSJgV0JplF

Nimeyakumbuka maneno haya, kufuatilia mchaka mchaka wa harakati za vyama vya siasa kujiandaa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, japo lengo kuu la uchaguzi ni kupata viongozi bora, na sio bora viongozi, na hakuna ubishi, kuhusu umuhimu wa fedha za kugharimia kampeni za uchaguzi, enzi zetu za zamani, enzi zile za TANU, namna ya kuwaita watu kwenye mikutano ya hadhara, ilikuwa ni inapigwa tuu mbiu, au lamgambo likilia, watu wanakusanyika, wakijua kuna jambo, watu walikuwa wanachangishwa senti tano tano, senti kumi, senti 20, thumuni na shilingi moja!, enzi hizi kulikuwa na noti ya silingi tano!.

Enzi hizo, sifa kuu za uongozi ni uwezo wa mtu na kujituma kwake kutumikia jamii, na sio fedha, Chama cha TANU na baadae CCM ni chama cha makabwela, ni chama cha wanyonge, ni chama cha wakulima na wafanyakazi.

Baada ya TANU kutangaza siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, pia kiliweka miiko ya uongozi, utajiri ulikuwa ni disqualification, matajiri walikuwa ni ama wafanyabiashara walioitwa, mabepari, ama wamiliki wa aridhi na mashamba makubwa walioitwa makabaila, ama wamiliki wa majumba walioitwa ma bwanyenye. Mwalimu Nyerere akatoa ile misingi minne ya ili tuendelee tunahitaji vitu vinne, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, fedha sii msingi, fedha ni matokeo!.

Kufuatia maendeleo na mabadiliko ya usasa, mambo yakabadilika, maisha nayo yamebadilika, maisha ya zamani yalikuwa maisha ya ukweli, kuliko maisha ya vitu, kwa kizungu “life wa more realistic than materialistic”, lakini sasa maisha ni kama unakitu, yaani “life is more materialistic than realistic”, thamani ya mtu sio tena ule utu wake bali anaangaliwa ana nini?, kama hana kitu, wewe ni lofa tuu!. Heshima ya mtu sasa sio utu ni pesa!, sasa pesa imekuwa ndio kila kitu!.

CCM nayo ikabadilika, Azimio la Arusha likazikwa, likaibuka Azimio la Zanzibar, likaifuta ile miiko ya uongozi, siasa zikageuzwa fedha, viongozi wakaanza kuwa majajiri na ukitaka uongozi, sasa kipimo cha kwanza ni sio tena sifa za uongozi, bali sasa ni fedha!. Zamani fomu za uongozi ni bure, leo fomu za uongozi ni fedha, Udiwani laki, ubunge, milioni, urais milioni 5!. Akina pangu pakavu tia mchuzi, kama huna pesa, huna chako, mkono mtupu haulambwi!. Ungozi wa kisasa ni uongozi wa kununua, lazima uwe na fedha za kununua fomu!.

Siku hizi, pesa ndio sifa ya kwanza ya kugombea uongozi, hivyo wakati vyama vinachangisha fedha kugarimia uchaguzi, tumeshuhudia matajiri wakijitokeza kwa wingi kugharimia harambee ya chama cha siasa, na shilingi bilioni 100, zimepatikana ndani ya siku moja!. Nilishiriki ile kampeni ta TEA kutafuta michango ya kusaidia elimu, au michango ya kuchangia huduma za afya na hata kunapotokea majanga mbalimbali jinsi watu na taasisi wanavyojitokeza kwa kusuasua, na kuchangia siasa, bilioni 100 fasta ndani ya siku moja!. Hii maana yake siasa zetu za kisasa ni siasa za fedha!, mwenye nacho anaongezewa, na asianacho ananyanganywa hata kile kidogo alichonacho!.

Pesa ndefu kwa lugha ya watoto wa mjini, inaitwa ‘kisu’, mwenye kisu kikali ndio anakula nyama!,

Ombi kwa Vyama, Wanasiasa na Wananchi, japo siasa zetu sasa siasa za pesa mbele, natoa wito “Tusitumie pesa kama fimbo” ya kuwachapia, vyama visivyo na pesa na viongozi wazuri wasio na pesa, kwa kutokuwachagua kutokana na kutokuwa na pesa, mafukara au kuwa na mkono mtupu!. Kuna watu wana pesa ndefu lakini ni viongozi mabomu, na kuna watu hawana kitu kabisa lakini ni viongozi wazuri. Tusitumie pesa kama fimbo ya kuwachagua wenye nazo na kuwachapia wasio nazo!.

Wananchi, wanasiasa, wenye nazo, wakimwaga pesa, wananchi, chukueni!, vyama vikigawa takrima, tshet, kofia, khanga na vitenge, pokeeni, watakao walisha watu ubwabwa, biryani na pilau, kuleni, lakini siku ya uchaguzi, nenda kachague kiongozi bora, hata kama hana kitu!. Uongozi ni uwezo wa kiongozi kutuletea maendeleo na sio uwezo wa kiongozi au chama kutumwagia mapesa!.

Tukachague viongozi bora na sio tukachague viongozi mli mradi ni kiongozi, yaani bora kiongozi kwasababu tuu ana pesa, na amemwaga pesa!.

Japo TAKUKURU ipo, lakini amini nakuambia, Takukuru hamna kitu kwa kinachoendelea!. Kama mchago tuu kutachingia chama, watu wamemwaga mabilioni, bila kujua yametoka wapi, TRA kimya, Takukuru ataweza kufanya nini?!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali.

Kuna uchaguzi kwani mwaka huu?

No reform No Election
 
Back
Top Bottom