Wito: Tujiondoe CHADEMA


BANGE BANGE BANGE ZIMESABABISHA NISOTE JELA,BANGE BANGE BANGEEEEEEEEEEE ZITAPELEKEA USOTE SANAAAAA,AAAAAAAAAAH AAAAAAAAAAAH AAAAAAAAAAAAAAH,TUMECHOKA MIAKA HAMSINI YA UVUMILIVU TUMEICHOKA SASA TuMEFIKA MWISHO ALIEKUTUMA MWAMBIE WATZ WAMECHOKA UVUMILIVU SASA WANATAKA MABADILIKO
 
cdm ni cham makini chenye taratibu zake za kupokea maoni au ukosoaji kutoka pande zote. Ila umenishangaza unapotuambia tujitoe, nadhani ungetushauri sisi tusio na kadi za cdm tukachukue pamoja na gwanda, tungekusifu . Pia ingekuwa busara utueleze kwa ushahidi je ni wapi cdm ilipokataa kukosolewa au kutofuata ushauri uliotolewa na wananchi.

shida ccm wanaogopa M4C, wanaweweseka kila wakisikia ratiba yake, matokeo yake wanadai eti hakuna askari wa kuwalinda, kama Arusha waliwapiga raia mtaani kwa risasi na kuwaua tuna haja ya kulindwa na genge la wauaji.

viva cdm... peopl.............................................zzzz power.................................
 
ha2na haja kuendelea kubisha na huyu shabik wa mafisad! maan 2mechoshwa na propaganda zen nw we take over the power!

Kamwe siwezi kuwa shabiki wa mafisadi,kwani naipenda nchi yangu Tanzania na ni miongoni mwa watu wanao amini CHADEMA ni chama sahihi kwa sasa kuongoza nchi.
Kinacho nikera ni ushabiki wa ukipofu wa kudhani CDM ni chama cha malaika.
Wakati wa kujikagua na kujirekebisha ni sasa!
 

Basi tusijitoe CHADEMA bali tupendekeze kwenye kura za maoni kufutwa kwa vyama vyote halafu tubaki na sera za maslahi ya nchi bila vyama maana kama ni ushabiki wa vyama kila chama kina washabiki wake na wana umbumbumbu wa kichama kama alivyo mtu mmoja mwenye jina linalofanana na kitambaa cheupe wanachovalishwa watoto wachanga ili wakikojoa mikojo isitiririkie pasipostahili....wote washabiki tu si wa maslahi ya nchi wala taifa.

Tufute vyama tubaki na wagombea binafsi katika katiba ijayo
 

Wewe umetumwa na nape tu huna jipya kwanini usiseme walio ccm wajitoe wawe neutral? Hata kama hawana kadi kura yao haitohesabika?
 
Mjinga mjibu sawasawa na ujinga wake... ndivyo biblia inatuagiza. Lakini namhurumia na kusamehe maana hajui asemalo. Nadhani katafuta aandike nini jf kaona aandike ujinga huu. tupa kuleeee
 
Ahsante mkuu mtu wenu.
Ushabiki wa kutoangalia ukweli wa mambo ulivyo ni hatari na hufanya hata fikra kuvia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…