Wito: Tujiondoe CHADEMA


Kujitoa ni lugha ya fumbo...ambayo maana yake ni kugeuka kiakili na kuiangalia CHADEMA kwa macho mawili...pale inapo fanya vizuri,ipongezwe;na pale inapo fanya vibaya isemwe na kukosolewa na mashabiki ili kujenga chama imara na kitakacho leta manufaa kwa taifa hili pale kitakapo kuwa madarakani.
 
copy that....
 
jiondoe ww,tuachie chama le2
 

Utanisamehe mkuu.Nimejaribu kurudia rudia ulichoandika lakini sijaona mantiki bado.

Kujitoa chadema maana yake nini?kwani lengo letu la kuwa wana chadema limeshatimia?la hasha,ni mpaka litimie kwanza ndio mengine yafuate.

Kwa taarifa yako wengi sana tulikuwa mashabiki wa JK enzi zile 2005 akiingia madarakani sababu ya umahiri wake kwenye kuzungumza na public.It turns out ameshindwa kutuletea yale maendeleo tuliyotarajia na kamwe huwezi kunishawishi tena kumpenda maana yale mapenzi tuliyokuwa nayo kwake yamefutika.

CCM itoke madarakani kwanza. Hadithi nyingine za abunuwasi zitafuata.
 
Tobaaaa sijui nani kamloga huyu kijana, nafikiri anapima upepo km siyo nepi huyu sijui.
 
kukomenti kwenye hii sredi unaweza ondoka na ban!
WITO: tujiepushe na hii sredi.
 
Mkuu ulilosema lina ukweli,lakini siyo kwa pro-chadema pekee hata uvccm kuna mashabiki wasiyoambilika akina Shimwela.Hawaonekani kusimamia maslahi ya taifa kwani hawaikosoi serikali inapofail bali wanaonekana tu pale ambapo upinzani wanakosea.Na hii ni vema tukaitazama kwa jicho la tatu pasi na kunyosheana vidole eti CHADEMA pekee.Sisi vijana wa CHADEMA tukubali kukosolewa lakini tusikubali kukosolewa tunapogundua mazingira ya ukosoaji yametengenezwa!
 
Mkuu tegemea matusi na kashfa nyingi sana kutoka kwa hawa pro-chadema na bado watakutukana hawa si unajua unakuta mmoja anamiliki account kumi kwa wakati mmoja hapa JF ndivyo sera za mtaa wa UFIPA zinavyosema MATUSI mbele

Hivi hata Lusinde anatokea UFIPA STREET?
 

Point...speak out loudly.
 

Hiyo miujiza si rahisi kutokea kwa hali ilivyo sasa!
Ni lazima wadau wa CHADEMA kubadilika kimtazamo na kuiangalia CHADEMA kama taasisi inayo ongozwa na binadamu wenye uwezekano wa kufanya makosa,hivyo kuwakosoa.
Mtazamo wa sasa kuwa mkosoaji wa chadema ni "gamba" hautawapatia watanzania ukombozi takikana.
 
imekula kwenu ccm! Peooooples!! Poweer ndo hivyo inachukua nchi mlizoea kutuibia sasa tunawakataa!
 

Acha mawazo mgando, hicho chama ulicho wewe, kiweke wazi tukifahamu. Na hapo kwenye red chunga sana, hatubahatishi this time.
 
ninakubaliana na comment ya jamaa mmoja that "inabidi kuwe na malipo kwa kila anayetaka kuweka post hapa JF"..hivi huyu jamaa anasahau kuwa hata wakati wa kudai uhuru hali ilikuwa hivihivi?
 
Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa.saa ya ukombozi imefika.tusimlaumu sana upeo wake umekoma hapo.m4c ,mwendo mdundo.
 

Nahisi Mmesahau KANGA na KOFIA ZA CCM nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…