Kwanini mjikombe kwa wasaliti ilhali kuna vijana machachali damu changa wasio na tamaa.?!
Chama kijikite ku recruit vijana wajengwe na kupikwa vizuri kwa matumizi ya baadae.
Hao akina Kubenea & the like, ni wachumia tumbo tu zaidi ya kujineemesha wao na familia zao kwa uroho wa madaraka.