Wito: Saed Kubenea rudi Chadema haraka

Chama ni watu
Kwanini mjikombe kwa wasaliti ilhali kuna vijana machachali damu changa wasio na tamaa.?!
Chama kijikite ku recruit vijana wajengwe na kupikwa vizuri kwa matumizi ya baadae.

Hao akina Kubenea & the like, ni wachumia tumbo tu zaidi ya kujineemesha wao na familia zao kwa uroho wa madaraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…