kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Umemjibu vema mjinga,nadhani atajifunza!Mkuu,
Kwahiyo kupanda kwa bei ya vifurushi haiwezi kuwapunguza waerevu humu mitandaoni???
Dawa ya mjinga ni kumuondoa ujinga wake..
Umemjibu vema mjinga,nadhani atajifunza!Mkuu,
Kwahiyo kupanda kwa bei ya vifurushi haiwezi kuwapunguza waerevu humu mitandaoni???
Dawa ya mjinga ni kumuondoa ujinga wake..
Msimsingizie Hayati,hili pambaneni nalo watu wa pwani😂😂😂Alikuwa anatekeleza maagizo ya jiwe
Mhanisi kilaba?Hii trend ya hivi sasa ya gharama za vifurushi hatukuiona ikipigiwa kelele awamu iliyopita, lakini ninyi mlikuwa hapohapo kwenye nafasi mlizonazo Sasa.
Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa kupandisha gharama au ninyi mlipotoa ahadi yakushisha vifurushi mliwadanganya wananchi au kuna maamuzi mnafanya bila kufanya utafiti na mashauriano yakutosha.
Hawa wanaolalamika ni wananchi na wanasiasa wakubwa nchini, msiwapuuzwe maana wanaweza kuwang'oa hapo mlipo.
Nayasema haya kwa kuwa natambua uwezo wenu wakutenda, haya mawimbi kaeni mwone namna yakuyakata kuondoa lawama zinazoendelea Sasa.
One more advice: Kama makampuni haya yanashindwa kuwasikiliza zungumzeni na TTCL washushe gharama za virushi kuvutia watu wengi kutumia ttcl hata kwakuwapa ruzuku itakayowasaidia kuimarisha huduma yao. Hii ni ambayo kutegemea msaada wa wahisani kwenye hii Vita nikuplan kufeli, wapeni kiburi TTCL kwenye bando mtaona hao wengine Kama wataendelea kuuza GB moja 3000.
Niwatakie Pasaka njema huku nikiwaombea msiathirike na ahadi ya Mhe. Rais ya kuapisha jumanne baada ya pasaka
Siyo 2B, ni 2T kwa mwezihukusikia waziri mmoja anasema anataka makusanyo ya kodi ya 2billion sijui kwa mwezi
Mama mama mama huyo ×2🕺Jamani hizi Gharama zimekuwa too much, watupunguzie
Bei iongezeke maradufu, pengine wajinga watapungua mitandaoni
Ikiwemo na wewe
Hiyo ndio point ya msingi tukigoma watajua nguvu ya wananchi ikojeChamsingi ni kuandaa mgomo wa kutumia mitandao hii hata siku mbili
Unajikuta unaakili maskini wa munguBei iongezeke maradufu, pengine wajinga watapungua mitandaoni
mleta mada acha kiherehere.Hii trend ya hivi sasa ya gharama za vifurushi hatukuiona ikipigiwa kelele awamu iliyopita, lakini ninyi mlikuwa hapohapo kwenye nafasi mlizonazo Sasa.
Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa kupandisha gharama au ninyi mlipotoa ahadi yakushisha vifurushi mliwadanganya wananchi au kuna maamuzi mnafanya bila kufanya utafiti na mashauriano yakutosha.
Hawa wanaolalamika ni wananchi na wanasiasa wakubwa nchini, msiwapuuzwe maana wanaweza kuwang'oa hapo mlipo.
Nayasema haya kwa kuwa natambua uwezo wenu wakutenda, haya mawimbi kaeni mwone namna yakuyakata kuondoa lawama zinazoendelea Sasa.
One more advice: Kama makampuni haya yanashindwa kuwasikiliza zungumzeni na TTCL washushe gharama za virushi kuvutia watu wengi kutumia ttcl hata kwakuwapa ruzuku itakayowasaidia kuimarisha huduma yao. Hii ni ambayo kutegemea msaada wa wahisani kwenye hii Vita nikuplan kufeli, wapeni kiburi TTCL kwenye bando mtaona hao wengine Kama wataendelea kuuza GB moja 3000.
Niwatakie Pasaka njema huku nikiwaombea msiathirike na ahadi ya Mhe. Rais ya kuapisha jumanne baada ya pasaka
Ndugulile na mwenzake walipanga hili, usijitoe ifahamu huku wakishangiliwa na mataga eti wanamkomoa kigogo2014, sasa namba tunaisoma wote.Hii trend ya hivi sasa ya gharama za vifurushi hatukuiona ikipigiwa kelele awamu iliyopita, lakini ninyi mlikuwa hapohapo kwenye nafasi mlizonazo Sasa.
Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa kupandisha gharama au ninyi mlipotoa ahadi yakushisha vifurushi mliwadanganya wananchi au kuna maamuzi mnafanya bila kufanya utafiti na mashauriano yakutosha.
Hawa wanaolalamika ni wananchi na wanasiasa wakubwa nchini, msiwapuuzwe maana wanaweza kuwang'oa hapo mlipo.
Nayasema haya kwa kuwa natambua uwezo wenu wakutenda, haya mawimbi kaeni mwone namna yakuyakata kuondoa lawama zinazoendelea Sasa.
One more advice: Kama makampuni haya yanashindwa kuwasikiliza zungumzeni na TTCL washushe gharama za virushi kuvutia watu wengi kutumia ttcl hata kwakuwapa ruzuku itakayowasaidia kuimarisha huduma yao. Hii ni ambayo kutegemea msaada wa wahisani kwenye hii Vita nikuplan kufeli, wapeni kiburi TTCL kwenye bando mtaona hao wengine Kama wataendelea kuuza GB moja 3000.
Niwatakie Pasaka njema huku nikiwaombea msiathirike na ahadi ya Mhe. Rais ya kuapisha jumanne baada ya pasaka
Mkuu,Werevu wanachagua vya kufanya hivyo ni ngumu kupunguza Bali wata-concentrate na mambo ya maana. Wajinga ndio wanatumia Sana bando kwa kuwa hawana Cha maana Cha kufanya