Wito kwa Dkt. Faustine Ndugulile na Mhandisi Kilaba; Semeni ukweli kuhusu vifurushi

Hii trend ya hivi sasa ya gharama za vifurushi hatukuiona ikipigiwa kelele awamu iliyopita, lakini ninyi mlikuwa hapohapo kwenye nafasi mlizonazo Sasa.

Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa kupandisha gharama au ninyi mlipotoa ahadi yakushisha vifurushi mliwadanganya wananchi au kuna maamuzi mnafanya bila kufanya utafiti na mashauriano yakutosha.

Hawa wanaolalamika ni wananchi na wanasiasa wakubwa nchini, msiwapuuzwe maana wanaweza kuwang'oa hapo mlipo.

Nayasema haya kwa kuwa natambua uwezo wenu wakutenda, haya mawimbi kaeni mwone namna yakuyakata kuondoa lawama zinazoendelea Sasa.

One more advice: Kama makampuni haya yanashindwa kuwasikiliza zungumzeni na TTCL washushe gharama za virushi kuvutia watu wengi kutumia ttcl hata kwakuwapa ruzuku itakayowasaidia kuimarisha huduma yao. Hii ni ambayo kutegemea msaada wa wahisani kwenye hii Vita nikuplan kufeli, wapeni kiburi TTCL kwenye bando mtaona hao wengine Kama wataendelea kuuza GB moja 3000.

Niwatakie Pasaka njema huku nikiwaombea msiathirike na ahadi ya Mhe. Rais ya kuapisha jumanne baada ya pasaka
Mhanisi kilaba?
 
Muende mkaangalie mbinu za kuongeza ukusanyaji wa kodi naona kauli ya Rais imeanza kufanya kazi. Tuendelee tu kuisoma namba hakuna namna
Screenshot_2021-04-02-13-38-12.jpg
 
Na bado charges za kutoa ela kwenye hii mitandao yetu itapanda hivi karibuni. So tujiandaye
 
hivi Mh. si alisema kuna uapisho mpya juma4 ,nafkiri kuna watu wamechoka wanataka wasaidiwe kazi...inakera sana kwa kweli...kutokuwa wabunifu na kujiongeza
 
Hii ishu ya vifurushi yalikuwa ni maagizo ya marehemu Kayafa.Kama siyo yule mbwa kufa kuna mengi zaidi ya haya yalikuwa yanakuja.
 
Hao hawajamuelewa mh.Rais.

Amewaambia watumie mbinu na akili kuongeza walipa kodi na wasitumie maguvu,ubabe na sheria kandamizi.
MIMI NINASEMA MH.MAMA NINAOMBA MPUMZISHE HUYO NSUGULILE MAANA HAJAJUA KAMA WALIPAKODI WATAPUNGUA SANA.

Msogeze hapo kama ulivyomsogeza yule jamaa mwenye mbwembwe kwenye ile wizara nyeti
 
Hakuna asiyejua kuwa Ndugulile alikuwa anatekeleza maagizo ya hayati ambae alikuwa anataka kupunguza stress za kutukanwa mtandaoni
 
Gharama za makampuni kutoa huduma ya 1GB ikoje? Kiasi gani wanapata katika 1GB? Yaani 1GB kwa mteja ni sawa na kilo moja na nusu ya mchele? Ni hatari sana. Naaomba kufahamu gharama za kampuni kutoa huduma ya 1GB
 
Bei iongezeke maradufu, pengine wajinga watapungua mitandaoni
Unajikuta unaakili maskini wa mungu

Kumbe hata akili zenye huna.

Kwa kiswahili kizuri wanasema unao mwenendo usio sahihi yaani kwa kifupi wewe ni

TAAAHIRA.
 
Hii trend ya hivi sasa ya gharama za vifurushi hatukuiona ikipigiwa kelele awamu iliyopita, lakini ninyi mlikuwa hapohapo kwenye nafasi mlizonazo Sasa.

Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa kupandisha gharama au ninyi mlipotoa ahadi yakushisha vifurushi mliwadanganya wananchi au kuna maamuzi mnafanya bila kufanya utafiti na mashauriano yakutosha.

Hawa wanaolalamika ni wananchi na wanasiasa wakubwa nchini, msiwapuuzwe maana wanaweza kuwang'oa hapo mlipo.

Nayasema haya kwa kuwa natambua uwezo wenu wakutenda, haya mawimbi kaeni mwone namna yakuyakata kuondoa lawama zinazoendelea Sasa.

One more advice: Kama makampuni haya yanashindwa kuwasikiliza zungumzeni na TTCL washushe gharama za virushi kuvutia watu wengi kutumia ttcl hata kwakuwapa ruzuku itakayowasaidia kuimarisha huduma yao. Hii ni ambayo kutegemea msaada wa wahisani kwenye hii Vita nikuplan kufeli, wapeni kiburi TTCL kwenye bando mtaona hao wengine Kama wataendelea kuuza GB moja 3000.

Niwatakie Pasaka njema huku nikiwaombea msiathirike na ahadi ya Mhe. Rais ya kuapisha jumanne baada ya pasaka
mleta mada acha kiherehere.
mabadiliko ya bei mpya za vifurushi hayatuathiri sisi mataga na watetezi kindakibdaki wa rais jiwe aka mwendazake aka marehemu.

mabadiliko haya yatawaumuza watu upinzani tu. sisi mataga tutaendelea kununua vifurushi kwa bei ileile ya zamani kama alivyo agiza jiwe.
 
Hii trend ya hivi sasa ya gharama za vifurushi hatukuiona ikipigiwa kelele awamu iliyopita, lakini ninyi mlikuwa hapohapo kwenye nafasi mlizonazo Sasa.

Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa kupandisha gharama au ninyi mlipotoa ahadi yakushisha vifurushi mliwadanganya wananchi au kuna maamuzi mnafanya bila kufanya utafiti na mashauriano yakutosha.

Hawa wanaolalamika ni wananchi na wanasiasa wakubwa nchini, msiwapuuzwe maana wanaweza kuwang'oa hapo mlipo.

Nayasema haya kwa kuwa natambua uwezo wenu wakutenda, haya mawimbi kaeni mwone namna yakuyakata kuondoa lawama zinazoendelea Sasa.

One more advice: Kama makampuni haya yanashindwa kuwasikiliza zungumzeni na TTCL washushe gharama za virushi kuvutia watu wengi kutumia ttcl hata kwakuwapa ruzuku itakayowasaidia kuimarisha huduma yao. Hii ni ambayo kutegemea msaada wa wahisani kwenye hii Vita nikuplan kufeli, wapeni kiburi TTCL kwenye bando mtaona hao wengine Kama wataendelea kuuza GB moja 3000.

Niwatakie Pasaka njema huku nikiwaombea msiathirike na ahadi ya Mhe. Rais ya kuapisha jumanne baada ya pasaka
Ndugulile na mwenzake walipanga hili, usijitoe ifahamu huku wakishangiliwa na mataga eti wanamkomoa kigogo2014, sasa namba tunaisoma wote.
 
Werevu wanachagua vya kufanya hivyo ni ngumu kupunguza Bali wata-concentrate na mambo ya maana. Wajinga ndio wanatumia Sana bando kwa kuwa hawana Cha maana Cha kufanya
Mkuu,

Kwa yule mwerevu aliyechagua mambo yake ya kufanya ya muhimu kwa gb 1 kwa siku then leo anakuta kifurushi kina mb 420 itakuwaje??
Je mwerevu huyo hajaathirika?? Je haiwezi kumfanya kuamua kutotumia huduma fulani??? Je vp endapo mwerevu huyo akachagua kutokuingia jf ili ku compasate matumizi ya bando??? Je haitakuwa imepunguza idadi ya waerevu humu jf??
 
Back
Top Bottom