Witchdoctor sent to prison for duping Mugabe

Witchdoctor sent to prison for duping Mugabe

hiyo ndo faida ya nchi/selikali kutegemea uchawi kuliko Mungu. selikali kuongozwa na kina shehe yahya etc, ndo faida zake kama hizo...mganga wa kienyeji ana move hata cabinet ya mawaziri kabisa, watu wamekabidhi nchi kwa shetani, na ndivyo hata hapa bongo, nchi yetu imekabidhiwa kwa shetani, kina shehe yahya na waganga wa kienyeji. sipati picha namna ile ikulu ilivyozindikwa kwa majini mabilioni,
 
Aiseee!!! I cant stand to watch this kind of animosity behaviour!! Are these real human being? How dare can you do that to a fellow human being? This is real beyond humanity!! Kwa kweli ndiyo maana ilikuwa ni rahisi kwa Wakenya kuuana kama wanyama wakati wa machafuko ya 2007.
Sitaangalia tena picha hii, imeniharibia moody kabisa.

I agree with you when i watched that livelink the first time nilisikitishwa sana...it is wrong and the poor old woman in the video was persecuted based on hearsay. some one suspected her and bila proof they lit her on fire, jamaani nyakati za mwishio ndizo hizi...
uchawi, ushirikina kwenda kwa waganga is not something we should even be arguing about. We should give it a blackout that it deserves...not give it time of day then all these practioners will have no where to go.
It does not matter whether uchawi ni wa KE, UG or TZ,...uchawi ni uchawi and it comes with consequences that are beyond us...death
they have killed innocent civilians for body parts I mean? common now!!! we need to educate ourselves on this issue...if the mchawi was right they would all be rich people because they could get all the money for themselves. but they are as poor people on the make...it is a long story no ending.
Please do not keep using the PEV to justify all these about KE. We are not as bloodthirsty and violent as you would like to believe. Majority of KE's were held at ransome during the PEV. Somebody put money on the ground for the madness to happen. We had to move from our house of 10 years to escape these marauders...a good samaritan from the same group of marauders warned us and we escaped to safety. Sooo please do not keep on talking about PEV and and the madness that occured then...some of us escaped with our lives. it is not a joke and do not wish for it or even debate about it.
God forbid.
 
Back
Top Bottom