nywele!!!? kwa kuwa zina majina mengi itakuwa umemaanisha kichwani. Hii inaweza kusababishwa na asili yako either asian 0r european, pia inaweza kusababishwa na matumizi ya vichochezi
ulaji wa vyakula vya PROTINE kama maharage,njugu,mbazi,nakadhalika, husababisha kuwepo na nywele katika kila sehemu za mwili wa living organisms.SOMA BIOLOGY USIWE MVIVU MABWANA.HAYO TU WANAJF DOKTAZ FOR REAL.