YASIYOSEMWA
Member
- Jun 1, 2026
- 68
- 149
Maarifa mengi..Natamani ningejua vichache
Huu ni ukweli ambao hatufundishwi tunadanganywa tuwe na taarifa nyingi na maarifa ambayo yanatuletea msongo wa mawazo.Kuna amani ya moyo sana ukijua vichache asee, exposure ikizidi stress zitakuua.
Natamani siku zirudi nyuma💔
Huyu Mimi kabisa,Kuna mda huwa najilaumu sana kujua vingi.Huu ni ukweli ambao hatufundishwi tunadanganywa tuwe na taarifa nyingi na maarifa ambayo yanatuletea msongo wa mawazo.
Unajaribu kupuuzia lakini haiwezekani unajikuta unarudi tu kulekuleHuyu Mimi kabisa,Kuna mda huwa najilaumu sana kujua vingi.
Zamani nilijua ni faida,now nimegundua ni stress tu.
Wasiojua vingi they don't bother
Yaaniii,pia ubaya ni kua the more unajua vitu vingi the more unajikuta Kuna vingi hunifahamu kwahiyo ubongo unataka zaidi.Unajaribu kupuuzia lakini haiwezekani unajikuta unarudi tu kulekule
Best advice ni don't be Curious yaani uishi kama mhadzabe tuYaaniii,pia ubaya ni kua the more unajua vitu vingi the more unajikuta Kuna vingi hunifahamu kwahiyo ubongo unataka zaidi.
Mimi sipendi kujua mengi mfano kusima vitabu 10 vya kitu kimoja tu hilo suala lilinishinda. Nataka kuelewa basics tu halafu mengine nitajiongeza mwenyewe. Huwa naamini taarifa za vitabuni zipo outdated. Kuanzia mwandishi anapata wazo la kuandika kitabu, anakichapisha, anakiingiza sokoni inaweza kuchukua hata mwaka mzima, kipindi ambacho unakuta alichokiandika kinakua tayari kishapotwa na wakati. Kwahiyo napenda kujua basics tu yanayobaki nita-observe na kufanya analysis mimi mwenyewe kulingana na dunia inavyoendaYaaniii,pia ubaya ni kua the more unajua vitu vingi the more unajikuta Kuna vingi hunifahamu kwahiyo ubongo unataka zaidi.