Wingi wa ajali serikali ifute leseni feki

Wakuacha

JF-Expert Member
May 19, 2015
2,041
1,323
Habari zenu,

Zoezi la kuyafuta yale majambazi ya vyeti, yaliyoshindwa kujiongeza limeendelea vizuri na pia mafanikio ni makubwa; Safi sana yatupishe tu. Baada ya kumaliza hili Serikali sasa kutokana na wingi wa ajali kuna haja ya kupitia leseni za Madereva, yaani kuna Madereva hawajawahi kupitia mafunzo yoyote lakini cha ajabu wana leseni hizi leseni zao zifutwe na bodaboda hawa ndo tatizo, mtu anajifunza pikipiki asubuhi jioni ashakuwa Bodaboda unamkuta katega.

Tutakufa sana kuna haja ya kupitia hizi Leseni!

Yangu nishairudisha maana sina sifa ya kuimiliki.
 
Habari zenu?

Zoezi la kuyafuta Yale Majambazi ya vyeti,, yaliyoshindwa kujiongeza Limeendelea vizuri na pia mafanikio ni makubwa;! Safi sana Yatupishe tu!! Baada ya kumaliza hili Serikali sasa Kutokana na wingi Wa Ajali kuna haja ya kupitia leseni za madereva, yaani kuna Madereva hawajawahi kupitia mafunzo yoyote lakini cha ajabu wana leseni, Hizi leseni zao zifutwe,na bodaboda hawa ndo tatizo kitu linajifunza pikipiki asubuhi jioni ashakuwa Bodaboda unamkuta katega, Tutakufa sana kuna haja ya kupitia hizi Leseni! Yangu nishairudisha maana sina sifa ya kuimiliki...
Tatizo sio vyeti na leseni tatizo kubwa nasugu ni madereva wetu hajitambui wawapo barabarani pia kuogopana kunasababisha ajali zisizo za lazima Mf.hapa tz kuna magari ya watu fulani hayaguswi hata dereva wake akivunja sheria .kuna watoto wa watu fulani hawaguswi kuna michepuko ya watu fulani yaani mambo ni mengi hata hao bodaboda unakuta mtu fulani ana pikipiki 50 mjini zinajulikana ukiikamata kama sio kukudimort basi onyo kali hutarudia unasemaje hapo mtu wangu chezea bongo wewe mchana mwema
 
Hivi kinachosababisha ajali ni leseni au mmiliki wa leseni. Kati ya hizo ajali unazozisema wangapi wamekutwa na leseni fake.

Taja tuone ushahidi usio na shaka
 
Back
Top Bottom