Windows phone vs android niende wapi?

Vipi niki root android phone nika install widows phone 8 OS?
 
Always Nakukubali Kwa Thread Zako Kaka Big Up!
 
Ebu mnisaidie. Nina HTC T-mobile (ni windows phone) nimejaitahidi nisome mail yangu ya yahoo nimeshindwa nifanyeje.
 
Ebu mnisaidie. Nina HTC T-mobile (ni windows phone) nimejaitahidi nisome mail yangu ya yahoo nimeshindwa nifanyeje.

mkuu japo hujasema ni htc gani mi na assume ni windows phone 7

swipe nenda kwenye app list then fata step hizi

1.click setting
2.click email and account
3.click add an acount
4.ingiza email na password

ur done email zako zitakua zinakuja kwenye simu
 
Brava mkuu!muda wangu wa kuingia jf leo umekuwa na faida zaidi,nilihitaji kujua tofauti hizi.mpaka sasa mimi natumia ios, ndani ya iphone 3gs. Nataka niende droid nione utamu wake.all in all smatphone ni nzuri sana kutumia.
 
Brava mkuu!muda wangu wa kuingia jf leo umekuwa na faida zaidi,nilihitaji kujua tofauti hizi.mpaka sasa mimi natumia ios, ndani ya iphone 3gs. Nataka niende droid nione utamu wake.all in all smatphone ni nzuri sana kutumia.

Hamia android customization,na kuifanya cmu vile unavyotaka wewe inakufanya uciichoke cmu yako,
 
pamoja na kuwa windows phone ina unique user interface windows phone inadisavantages nyingi tu, haina local search, no unified notification, no file manager, you can not close apps direct from multitasking window, limited file type you can attach in email, no alternative full browser due to ms restriction, bing is not as good as Google
 

heshimma kwako mkuu.wewe mtu wa maana sana.
 

mkuu tuanze na browser
watu wengi wanashangaza sana wanataka na wp nayo iwe na firefox, dolphin, chrome. vya nini? kwenye pc unavyo na simu ya android unavyo huku pia unataka sidhani kama ni jambo la busara. wp ina browser zake unique mkuu tena nzuri tu ntakutajia chache hapa

1.surfcube 3d browser
hii ni browser yenye ladha ya 3d wanatumia engine ya ie kama sjakosea lakini ina muonekano mzuri ambao hauchoshi kutumia


2. nokia express browser
huyu anatumika kama operamini ina uwezo wa kucompress data hadi asilimia 90. ni nzuri kibongo bongo kupunguza matumizi ya bundle.


3. ucbrowser
wote tunaijua wote tunaipenda uwezo wake wa kudownload na kusuport resume tunautambua so still mkuu unasema hakuna alternative za browser?

hizi ni browser chache ninazokumbuka.

kuclose app kwenye multitask window
mkuu natumia android ila nikidownload hata nikiclose app kwenye multitasking window inadownload (ilitakiwa ikill process? ndo ulivomaanisha?) na hata wp uache apps 10,000 haiafect maana haina true multitasking mkuu

system wide file manager(na sio file manager)
even android haina system wide file manager mkuu hadi leo miaka 6 sasa, zile file manager ni oems kama samsung, huawei, htc wanaeka wenyewe so ni just matter of time kabla ya oem wa wp hawajaeka zao. wp8 ndo kwanza ina miezi 6.

kuhusu file manager wp inayo thats why unaplay miziki native, video unaangalia picha.

tofauti ya file manager na system wide file manager ni kuwa file manager inaonesha format zinazosuport kwenye simu tu wakati system wide inaonesha mafile ya pc, mac na chochote unachoeka.

then wp ina mass storage incase unahitaji ku uncompress file unaplug kwenye pc tu.

-local search sjaelewa hebu nielezee zaidi

-can u tell me kitu gani kipo google search kwenye bing hamna (toa sababu ya mazoea)

kuhusu unified notification centre inaweza kuwa muhimu kwa wengine na kwa wengine isiwe muhimu maana nature ya wp ina home screen yenye tiles na people hub. mfano ikiblink notification ya people hub basi ujue kuna notification ya social it may be facebook, twitter, email nk unaclick unaiona


its hard mkuu ukitaka hizi os mbili ziwe sawa tumia device zake ndo utazielewa
 
SOMA HII kama wewe ni WP aina ya Nokia....

Introducing LiveSight for HERE Maps on Windows Phone 8. Tap the ‘eye' icon for augmented reality, tilt the phone for an interactive map & swipe up for list view. It even works offline ๐Ÿ˜‰

Sosi: nokia gPlus page
 
Windows Phone naipenda, tatizo haina youtube.

Binafsi naona hawa jamaa inabidi watengeneze OS kama za Computer, mtu uwe na uwezo wa kuweka OS unayotaka.
 
si umeona hizo browser zote either zinatumia engine ya ie au ni ambazo zinarender page kwenye server yao e.g ucweb,lakini huwezi kuta browser nyingine ambayo inatumia engine yake binafsi. kwenye file manager hapo hiyo wp8 kuja kupata file manager ni mpaka ms aruhusu, wewe si unaona kwenye android ukiingia store unakuta file managers kibao unafikiri watu wameshindwa kutengeneza hizo apps sema ni ukiritimba wa ms tu. unified notification ni muhimu sababu inarahisisha mambo, mfano kama upo kwenye apps yoyote unaweza cheki notification without closing application wakati kwenye wp8 mpaka utoke kwenye app na uanze fungua tile moja moja. kwenye search engine try kujizoesha kutumia bing for sometimes uone jinsi gani inavyofeli kukupa majibu mazuri. local search nilikuwa namaanisha kuwe na universal search ambayo itakuruhusu kusearch kitu chochote kwenye simu e.g mfano nikisearch deo iniletee info kuhusu messages zinazocontain deo, contacts, photos, apps music and other files with the keyword etc, yaani nikama search ile ya kwenye pc. halafu nilisahau kwenye windows phone huwezi create folders, kwa kifupi naweza sema ms hawajafanya kazi kubwa kuweka features za kutosha kama platform nyingine zilivyo, kwa mfano ukicheki blackberry 10 ni revamped os lakini imekuja na features kibao ndani ya mda mfupi, vile vile pamoja na wp8 kukosa features kibao bado kuna restriction za apps developer anaweza create.
 
Big up mkuu hayo ndo maujuzi na sharing knowledge. Tunahitaji watu wasio wachoyo wa elimu yao. Si kila mtu anaweza kuwa well informed kwa kila kitu. Kwa mfano tunahitaji thread juu ya smart TV etc
 
Windows Phone naipenda, tatizo haina youtube.

Binafsi naona hawa jamaa inabidi watengeneze OS kama za Computer, mtu uwe na uwezo wa kuweka OS unayotaka.

so far best app ya simu ya youtube ipo windows phone na ni best sababu ina vitu viwili muhimu ambavyo watu wanavitaka

1.hadisplay matangazo so ukiingia tu unaangalia video bila matangazo

2.unadownload video unayotaka. inamaana haina haja ya kueka ss wala kuwa nma tube mate we undownload tu.

google ameilalamikia possibly ikafungiwa kama una wp download kabla haijafungiwa
 
Big up mkuu hayo ndo maujuzi na sharing knowledge. Tunahitaji watu wasio wachoyo wa elimu yao. Si kila mtu anaweza kuwa well informed kwa kila kitu. Kwa mfano tunahitaji thread juu ya smart TV etc

mkuu ntajitahidi kuandika kuhusu smart tv.
 
mkuu deo even android browser karibia zote zinatumia webkit, ila native browser, dolphin zote ni za webkit ambayo ipo tofauti ni firefox inayotumia gecko na firefox kama huna gbs za ram na dual core za processor hamna kitu.so ni kitu cha kawaida sio wp tu.

mi natumia bing since 2011 pamoja na google hamna tofauti bing ipo kama google tu.

kuhusu file manager kama nlivokwambia hamna system wide ila file manager ipo na wanazuia kuprevent watu kutumia os yao. wakiruhusu ujue haipiti wiki unaskia watu washahack wanainstall app bure.
 
nadhan Hata Kwenye I Devices Pia Hakuna Hyo System Wide
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ