inaweza kuwa ni kweli kabisa, kwan hata mm kuna jamaa aliniazima pc yake ikiwa na xp na ilikuwa nikama desktop, na alikuwa anajua betri imekufa, nika mwambia hii window haita tusaidia kw project yetu, nikamshaur tuweke window 7, huwez amini betri ikawa inakaa masaa wa 2 hata mm nilishanga saana, nika gudundua window inaweza sababisha..