Ni kama mwezi umepita kuna rafiki yangu anunue laptop mpya K.Koo ikiwa na Windows 7 na hali ya betrii yake ilikuwa ni nzuri tuu kwani ilifikisha karibu masaa manne(4) kama ikiwa unplugged. Hiyo laptop sasa ina Windows 8 lakini uki-unplug kutoka kwenye umeme maximum inaweza kuvumilia kwa saa 1. Tulihisi tatizo ni betrii tukaenda dukani tukawaeleza wakatuelewa kwakuwa tulikuwa na warranty wakatupatia betrii nyingine amabyo nayo haikusaidia kitu mchezo ni ulele. Tulichogundua kwa harakaharaka ni kwamba Windows 8 inatumia nguvu nyingi ku-operate na kumaliza nguvu ya betrii. Kama kuna anaejua tatizo hili au yeyote ambaye ameshaona tatizo kama hili baada ya ku-upgrade to windows 8 naomba tuchangie mawazo....