Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,736
- 5,142
bonge moja la dude. kuna wale wahuni wa predator nao wana pc gaming nzuri hata kwa kufanyia desining zinafaaDha kuna iyo moja ya dell inaitwa ALIENWAVE M15 - M17 hizi ni kwaajili ya magemu lakin spc zake ni hatari , Saiv sina tu mihamala lkn lazima nije nichukue M17 kwa ajili ya mambo yangu
Bei sawa na gari🤣Kama mdau hapo juu alivyokuambia, Gpu ni muhimu zaidi, na Display port ni nzuri kushinda Hdmi linapokuja suala la monitor.
Port 1 ya display port ina uwezo wa kudrive monitor 4 za Full HD. Kuna monitor maalumu zenye dp in na out unaunganisha na waya wa dp monitor zote toka output moja ya desktop ama laptop.
Na njia hii sio lazima uwe na gpu kali kivile hasa kama software yako sio nzito unayotaka kuitumia kwenye multi monitor. Hata gpu za ndani za laptop zinaweza kamilisha hii kazi, laptop za kazi kama thinkpad utakuta badala ya Hdmi wanakuwekea port ya Mini dp.
Kama upo serious sana ndio utahitaji gpu highend kama hio Rtx 2080 na wengine wanaweka multi gpu, unakuta Gpu 2 zinawekwa pamoja, incase monitor zako ni high resolution kama 4k. Sema hapa jiandae milioni 10 zinaweza kuisha kimasihara tu.
Kama cinema wanaweka kuna kipindi quality kabla hawajafunga walikuwa na multi monitor/tv moja kubwa sana.Bei sawa na gari🤣
Kama ni kibiashara kama hivyo inaweza isiwe ishu. Wekeza pesa upate pesa.
sio kila window pc ina mauza uza.Siku nyingine usipambanishe apple's macbook na uchafu. Mambo ya .exe crashing nani anataka.
Issue ya desktop mkuu ngumu kununua vifaa nje maana ni vizito. Kama una mtu nje anayeweza kusaidia kufanya manunuzi na kukuletea tengeneza mwenyewe around Ryzen 5 3600, na rtx 1660 itakuja around hio budget, angalia zaidi hapa
Completed Builds Using AMD Ryzen 5 3600 3.6 GHz 6-Core Processor
Alternative kwa budget ndogo nunua machine used hapa Tanzania i7 na kuendelea then unai upgrade vitu kama ssd, gpu, ram etc. I7 used unazipata around laki 5 hivi.
Sema kuwa makini hakikisha power supply yake ni ya pin 24 na sio pin 8, kuna desktop zinatumia proprietary power supply ambazo ni ngumu kuzi upgrade.
Alternative nyengine ni kujilipua na capricon ila sikushauri unless umekosa option zote maana bei zake ni almost double ama triple msrp.
COOLER MASTER i7 PC - Capricorn Technologies
Na mimi ndio nimezisikia kwako, kwa desktop hamna neno unaangalia tu components kama zina value ila kwa vitu complicated kama laptop na All in one pc kaa nao mbali.Mzee mwenzangu! Hizi ipason una uzoefu nazo!? Nimezama aliexpress nimekutana nazo kibao.
Na mimi ndio nimezisikia kwako, kwa desktop hamna neno unaangalia tu components kama zina value ila kwa vitu complicated kama laptop na All in one pc kaa nao mbali.
Sawa mkuu zilete angalia machine kama hii matumizi ya kinyumbani inatafuna kila kitu, gaming, video editing, home server etcNahitaji desktop moja ya kibabe.
Nikitulia nitazileta kadhaa hapa tuzicheki.
Ila nadhani kama hii ndege ya mizigo ikianza kuja direct bongo itarahisisha mamboSawa mkuu zilete angalia machine kama hii matumizi ya kinyumbani inatafuna kila kitu, gaming, video editing, home server etc
https://www.bestbuy.com/site/cyberp...d-white/6362429.p?skuId=6362429&intl=nosplash
Issue kubwa ni namna ya kuisafirisha tu.
ndege ipi mkuu? siifahamu hiiIla nadhani kama hii ndege ya mizigo ikianza kuja direct bongo itarahisisha mambo
Juzi niliona kwenye taarifa ya habari kutakuwa na direct flight ya mizigo kuja bongondege ipi mkuu? siifahamu hii
Kutokea wapi?Juzi niliona kwenye taarifa ya habari kutakuwa na direct flight ya mizigo kuja bongo
Desktop yoyote ukifunga video card yenye output 4 unakamilisha, kuhusu performance unaweza chagua kuanzia core i5 2nd generation na kuendelea na Ram 4GB iwe minimum, 8GB ni nzuri zaidi kwasababu ya browser tabs zinatabia ya kutafuna RAM ya kutosha.Nataka kutengeneza kitu kama hiki.
Nahitaji CPU yenye specification zipi?View attachment 1408729
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukuelewa kuhusu ndege za mizigo, ndege za mizigo zipo na huwa zinakuja, walichomaanisha ndege za abiria hazitaruhusiwa kuja nchini isipokua ndege za mizigo tu ndio zitaruhusiwa kwa utaratibu wa waongozaji kuwekwa karantini kwa gharama zao.Europe although sijajua nchi gani coz habari niliikutia mwishoni