nzwalile the great
Member
- Aug 9, 2007
- 8
- 4
Sasa wote wamekubali kuitikia kiitikio cha ukawa.... Hapo mwanzo walisema ukawa ni kundi la wahuni, wazandiki, wasio na kazi na kwamba katiba ni lazima itapatikana hata bila ukawa... Leo nimeamini kuwa chadema inaongoza na ccm inatawala....akili kubwa haiwezi kuongozwa na akili ndogo.
.
.