Wimbo wa ukawa umekubalika

Wimbo wa ukawa umekubalika

Joined
Aug 9, 2007
Posts
8
Reaction score
4
Sasa wote wamekubali kuitikia kiitikio cha ukawa.... Hapo mwanzo walisema ukawa ni kundi la wahuni, wazandiki, wasio na kazi na kwamba katiba ni lazima itapatikana hata bila ukawa... Leo nimeamini kuwa chadema inaongoza na ccm inatawala....akili kubwa haiwezi kuongozwa na akili ndogo.
.
 
Ni baada ya ma nyinyiem kukubali kuditisha mchakato wa katiba kutokana na kukosa akidi na uharali kwa kutokuwepo UKAWA.. Leo ndio wamejua kuwa bila UKAWA hakuna katiba ya wananchi
 
Ukiona hivyo ccm kwenda kuzimu.delete ccm kabisa
 
ingia hapa uone maajabu job 0nline 10USD Few second http://monthlyyouth.com/?ref=376674
 
kwani huwezi kupost thread yako kwa lugha ya kiungwana? nyinyiem ndiyo nin? kwan ukisema ccm utapungua damu? kumbuka ccm haina ugomvi na wewe wala ukawa, pia bila ccm kuwepo hata hao ukawa wasingekuwepo! wew pia ucngekuwa huru kupost utakacho bila bughuza. mm ni muumini wa serikali tatu na nimwana ccm. ccm imevamiwa tu na mafisadi lakn sera zake hakuna chama kinaweza kutia mguu.
 
kwani huwezi kupost thread yako kwa lugha ya kiungwana? nyinyiem ndiyo nin? kwan ukisema ccm utapungua damu? kumbuka ccm haina ugomvi na wewe wala ukawa, pia bila ccm kuwepo hata hao ukawa wasingekuwepo! wew pia ucngekuwa huru kupost utakacho bila bughuza. mm ni muumini wa serikali tatu na nimwana ccm. ccm imevamiwa tu na mafisadi lakn sera zake hakuna chama kinaweza kutia mguu.

Hiyo ccm uliyoielezea hapa haipo tena ulimwenguni. Mwanzilishi wake aliondoka nayo!
 
Maana kwa sasa wanawaita ninyi UKAWA na wao wanawaita hawa CCM.
Wakati mwanzo walikuwa hawaitambui UKAWA sasa wanaitambua.
 
kwani huwezi kupost thread yako kwa lugha ya kiungwana? nyinyiem ndiyo nin? kwan ukisema ccm utapungua damu? kumbuka ccm haina ugomvi na wewe wala ukawa, pia bila ccm kuwepo hata hao ukawa wasingekuwepo! wew pia ucngekuwa huru kupost utakacho bila bughuza. mm ni muumini wa serikali tatu na nimwana ccm. ccm imevamiwa tu na mafisadi lakn sera zake hakuna chama kinaweza kutia mguu.

Unaoneka hata historia ya chama chako huijui. Asingekuwepo kivipi? Hebu elezea.
 
Ccm nyelele aliondoka na udhalendo wake wengine hao mafsad2 wa2chie nchi hao ccm.
 
Back
Top Bottom