Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Mungu ibariki Afrika
1.
Mungu ibariki Africa
Wabariki Viongozi wake
Hekima Umoja na Amani
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake.
Wabariki Viongozi wake
Hekima Umoja na Amani
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake.
Chorus:
Ibariki Afrika
Ibariki Afrika
Tubariki watoto wa Afrika.
Ibariki Afrika
Tubariki watoto wa Afrika.
2.
Mungu ibariki Tanzania
Dumisha uhuru na Umoja
Wake kwa Waume na Watoto
Mungu Ibariki,
Tanzania na watu wake.
Dumisha uhuru na Umoja
Wake kwa Waume na Watoto
Mungu Ibariki,
Tanzania na watu wake.
Chorus:
Ibariki Tanzania
Ibariki Tanzania
Tubariki watoto wa Tanzania.
Ibariki Tanzania
Tubariki watoto wa Tanzania.
Asilimia tisini ya maneno yaliyopo katika wimbo wetu wa TAIFA ni Mungu ibariki!!!!!!!!!!
Mimi nadhani kwa wimbo huu ndy maaana tumwkuwa kwa kudra za mwenyezi mungu, destiny yetu tumeikabidhi mno kwa Mungu!!! hakuna sehemu sisi tunashiriki katika lolote, hakuna mlengo wowote wa kuwapa mshawasha vijana wetu! Wimbo wa Taifa ni Nembo muhimu na mhuri wa moto wa kuonesha nini malengo na kila mtu afanye nini ili kufikia malengo! Mimi naona wimbo huu unahitaji review mapema iwezekanavyo!
Mimi nadhani kwa wimbo huu ndy maaana tumwkuwa kwa kudra za mwenyezi mungu, destiny yetu tumeikabidhi mno kwa Mungu!!! hakuna sehemu sisi tunashiriki katika lolote, hakuna mlengo wowote wa kuwapa mshawasha vijana wetu! Wimbo wa Taifa ni Nembo muhimu na mhuri wa moto wa kuonesha nini malengo na kila mtu afanye nini ili kufikia malengo! Mimi naona wimbo huu unahitaji review mapema iwezekanavyo!