Wimbo huu wa 20% haupatikani mtandaoni

Wimbo huu wa 20% haupatikani mtandaoni

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,643
Reaction score
4,184
Kuna wimbo wa 20% sijalijua jina lake bado,
Ila anaanza kuimba maneno Haya

"Nimeajiriwa Kwenye ajira niliyojiajiri,
Na nasifiwa utendaji wangu wa kazi ni mzuri ..."

Kisha churus yake anaimba Hivi,

"Ukifikiria aaaaah inauma,
Ukiangalia aaaaah inachoma ..."
------
Wimbo una MAUDHUI mazuri,
Na melody NZURI.

Kwa ambaye anao huu wimbo naomba anisaidie,
Aliye nao akomenti,
Nitam_PM namba ya whatsapp.

Ahsanteni sana.
 
Namkumbuka Nyerere,namuuliza Mandela.
Angekuwepo Mwl,nani angeiba hela?
Mara Richmond, mara EPA
Wanaiba wanatoka vitambi kulipa wanakwepa.

Nchi ina sifa wananchi maafa,
Ardhini kuna mafuta mengi wanachonga mapipa.

Huu wimbo aliutoa kweli? Mkuu Seneta Wa Mtwiz
 
Back
Top Bottom