Kifupi mtaalam umekopi na kupaste, sio mbaya japo uandishi hauvutii kivile..
Kwanini umechagua kuweka verse ya qfande sele na ambayo ni ya 3 na ya mwisho kwenye wimbo husika, na hujaweka vesre hata moja ya mwenye wimbo.. ulikuwa unazungumzia ngoma ya elimu dunia ama afande sele ndani ya elimu dunia..
Sio mbaya asante pia, hii ni kati ya ngoma zangu bora kavisa