Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,137
Japo kuongea pekee sio kubaya ila ukizidisha sana unaonekana kama ni mtu mwenye matatizo na msongo mwingi wa mawazo.
Hali hii nimekutana nayo sana kwenye maeneo mengi ya watu hasa kipindi hiki unakutana na watu ni 'very smart' wanaongea peke yao tena hadi kwa ishara ya mikono.
Hii hali inatisha si ya kawaida.
Hali hii nimekutana nayo sana kwenye maeneo mengi ya watu hasa kipindi hiki unakutana na watu ni 'very smart' wanaongea peke yao tena hadi kwa ishara ya mikono.
Hii hali inatisha si ya kawaida.