Corona tulishakula pesa za msaada, tukaenda kujengea madarasa huku tozo tusijue siku hizi zinakwenda wapi kufanya nini, kilichobaki kwetu ni kuomba Mungu balaa lisitukute, tukiulizwa maswali ya ule msaada ya kwanza tuliupeleka wapi sijui tutawajibu nini wenye dunia.