Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Status
Not open for further replies.

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,279
Reaction score
38,855
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
 
Lowasa mungu kaamua awe rais mtahangaika sana na huyo silaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom