Will Smith in Masai Mara

bukoba boy

JF-Expert Member
Jan 15, 2015
5,372
3,945
4984d8421f453fb7d70a397dc9b94c44.jpg


Wakora @ work.
 
wanajitekenya na kucheka wenyewe....hapo watamuhesabu pia kwenye takwimu zao za watalii waliotembelea kwao!
 
salaleeeee hata aibu hawanaaa this is too much kabisa hasa hawa jamaa Zetu pande za Nai mbna sijawaiona Mtz Akisema Victor Wanyama katoka Tz hebu jifunzeni kusifia vya kwenu na sio vya jirani,Mount Kilimanjaro,Diamond,Darasa,Presidaa,Serengeti national park,Sammata hao tiyari mlitaja wa kwenu.
hatimaye hata mm mtasema nimetoka Nai.
 
Smith alikuwa misri hiyo juzi, na baadaye akatua jkia through ndege ya egypt air( as per the flight manifest). Later akaja huko bongo so blah blah nyingi Upuzz tu
17158970_10158175414085161_5710059176831128295_o.jpg
FB_IMG_1488995130436.jpg
 
If at all African countries are to develop, This silly inferior mentality has to stop.

Sasa ushawai skia marekani ama uingereza wakibabaika mkitembea kwao?? Yet here we are arguing whether or not he's in Kenya, Tz ama UG.

Im sure he's looking at us Africans kama wajinga. Huu ndio ukoloni wa Akilini.

If your mind is conquered, you are going nowhere.
 
If at all African countries are to develop, This silly inferior mentality has to stop.

Sasa ushawai skia marekani ama uingereza wakibabaika mkitembea kwao?? Yet here we are arguing whether or not he's in Kenya, Tz ama UG.

Im sure he's looking at us Africans kama wajinga. Huu ndio ukoloni wa Akilini.

If your mind is conquered, you are going nowhere.

Mkuu nna wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri,kwa taarifa yako Watalii hawaji hivihivi bila marketing,na hii ni mbinu moja kubwa sana ya kuvutia watalii,Will Smith anao mashabiki wengi sana duniani ambao wakisikia amekuja Tanzania tena kutembelea mbuga ya wanyama they will be very interested to do the same.usifikiri hao Waganda au Wakenya ni wajinga kujitangazia kuwa Mr Smith alikuwa kwao."WAKE UP"
 
Alitua jkia, kisha akachukua ndege ya regional air from wilson airport (nairobi) to the serengeti,hapo ndipo hio picha ilipopigwa. Case closed
Screenshot_2017-03-08-21-15-36.png
 
Back
Top Bottom