chagua cdm chagua maendeleo peoples poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer pole sana,mtani nyie bado mpo mwaka 47 na sabaaaaaaaaaaaaaaaa,bado mnafikiri ccm itawaletea maendeleo,wenye cham walishatangulia mbele ya haki waliobaki ni mafisadi wote piga chini hao muone mabadiliko,ukikubali kila unachoambiwa na ccm wanaona huna shida ya maendeleo,lakini mkibadilika watafanya bidii ku "win hearts of the mind" maendeleo mtaanza kuyaona,vingineyo pigeni usingizi mkisubiri kudra za mwenyezi mungu