juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,477
Wilaya ya kinondoni inaundwa na majimbo manne(4),kinondoni,kawe,kibamba na ubungo..uchaguzi mkuu wa 2015 ushapita,katika wilaya hii majimbo yote manne yameenda ukawa,matatu wamechukua chadema na moja cuf..katika jimbo la kawe kati ya kata 10,ccm wamepata 5 na ukawa 5,na katika jimbo la kibamba kati ya kata 6 zote zimeenda ukawa,majimbo mawili sijajua bado,,,mantiki yangu hapa ni kwamba,bila shaka wala kificho jiji la dsm litakuwa chini ya harimashauli ya ukawa,na wilaya ya kinondoni itakuwa chini ya halimashauri ya ukawa.sasa sisi tunahitaji maendeleo jiji la dsm,hatutaki visingizio kabisa wala hatutaki kusikia kuna harufu ya ufisadi imetokea kabisa