Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,547
- 32,787
Mtoa mada weka orodha ya wilaya hizo!
chalinze na monduli
Mtoa mada weka orodha ya wilaya hizo!
Mtoa post umekimbia nini nimeomba unitajie hizo wilaya zinazoongozwa na CCM ambazo ni Masikini afu tusonge mbele acha kuchelewesha mdahalo!
Mkuu ndio haswa nia yangu ili mantiki yao ya wilaya maskini ife. It was sarcasm. Nimetaja hizo wilaya kwa makusudi . Zote zipo chini ya CCM chama kubwa.
bunda,musoma v,geita,serengeti.
Halafu tufahamishe na Wilaya tajiri zinazoongozwa na Chadema.Wadau hebu naomba msaada wa hili swali,kwa nini wilaya zote masikini nchini Tanzania majimbo yake yanaongozwa na CCM??.
bunda,musoma v,geita,serengeti.
Ilala, Kinondoni, Simanjiro, Morogoro mjini,Siha, Mwanga, Babati mjini, Babati vijijini,Kahama, Tarime, Temeke, Kigamboni,Kalenga kote huko ni maskini ajabu.
chalinze na monduli
nyie naona hamjatembea hi nchi
nyie naona hamjatembea hi nchi
ww naona hujatembea hi nchi mikoa ya kanda ya ziwa na kaskazini ipo vzr kdgo,NDUGU KUNA MIKOA YA PWANI,LINDI,MTWARA,RUKWA, SINGIDA,TABORA,SHINYANGA,PWANI,DODOMA. Ni hovyo kabisa
Chalinze,Kongwa,Handeni,Rufiji,Kondoa,Iramba,Bunda,Urambo
jibu swali acha tantalilaHalafu tufahamishe na Wilaya tajiri zinazoongozwa na Chadema.