KUCHITIMBO1970
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 482
- 221
Wadau hebu naomba msaada wa hili swali,kwa nini wilaya zote masikini nchini Tanzania majimbo yake yanaongozwa na CCM??.
Chalinze,Kongwa,Handeni,Rufiji,Kondoa,Iramba,Bunda,UramboMtoa mada weka orodha ya wilaya hizo!
Mtoa mada weka orodha ya wilaya hizo!
mtoa post umekimbia nini nimeomba unitajie hizo wilaya zinazoongozwa na ccm ambazo ni masikini afu tusonge mbele acha kuchelewesha mdahalo!
usijali nitakuwekea uvunje mbavu.
bunda,musoma v,geita,serengeti.
Usione aibu kutaja na wilaya zinazoongozwa na NCCR MAGEUZI na CHADEMA kama ROMBO!
Ilala, Kinondoni, Simanjiro, Morogoro mjini,Siha, Mwanga, Babati mjini, Babati vijijini,Kahama, Tarime, Temeke, Kigamboni,Kalenga kote huko ni maskini ajabu.
Ilala, Kinondoni, Simanjiro, Morogoro mjini,Siha, Mwanga, Babati mjini, Babati vijijini,Kahama, Tarime, Bukoba mjini,Nzega, kote huko ni maskini ajabu./QUOTE]
Dalili za kuehuka sio lazima uvue nguo!
Wadau hebu naomba msaada wa hili swali,kwa nini wilaya zote masikini nchini Tanzania majimbo yake yanaongozwa na CCM??.