WIKI MBAYA KABISA!:wiki ya uchaguzi-2010

Itabidi uwape daireksheni hawa binadamu...pale kwa Josephina panaweza kuua soko la Al-Batar
hehehe!pale hatuwezi kufanya vikao vyetu kwa sasa mpaka pale maslahi yetu yakudumu yatakapotuhakikishia ''umiliki''....namuogopa sana mwenyekiti:smile-big:
 
okay okay!.....

Kwa heshima ya mwenyekiti nina-ishu kimemo kifuatacho:

the king is hereby announcing that our internal meeting will be persued on friday of 05th november 2010 from 17:00hrs till down....the same venue!please be informend that forget not to come with your copy of constitution,as we all know that there are some amendments to be decided collectively!...on the very serious note:mwenyekiti atakuwepo
rgds,
the king
royal palece

confirmed noted with thanks
 
hehehe!pale hatuwezi kufanya vikao vyetu kwa sasa mpaka pale maslahi yetu yakudumu yatakapotuhakikishia ''umiliki''....namuogopa sana mwenyekiti:smile-big:

Mwenyekiti na Katibu hawaruhusiwi mpaka mfalme na mshika hela wahakikishe itifaki ya kimaslahi imezingatiwa

Hawa watu ni hatari sana. CHEZUMWI imewaathiri baioloji zao.:smile-big::smile-big::smile-big:
 
hehehe!pale hatuwezi kufanya vikao vyetu kwa sasa mpaka pale maslahi yetu yakudumu yatakapotuhakikishia ''umiliki''....namuogopa sana mwenyekiti:smile-big:

Mkuu Bwana Jaa Pipo vp pale nyumbani kachukua?
 
okay okay!.....

kwa heshima ya mwenyekiti nina-ishu KIMEMO KIFUATACHO:

the king is hereby announcing that our internal meeting will be persued on friday of 05th November 2010 from 17:00hrs till down....the same venue!please be informend that forget NOT to come with your copy of constitution,as we all know that there are some amendments to be decided COLLECTIVELY!...on the very serious note:MWENYEKITI ATAKUWEPO
rgds,
the king
ROYAL PALECE

RSVP: (Kwa wasiofika kwa sababu maalum tu)
Big Braza ODM & Josephina
KingStar Executive Motel
Baa Mpya Basihaya Street
 
Baba Gift umekuwa kama mie nimepoteza Mood ya kila kitu mpaka mambo ya ndani ya nyumba ,,hii inahatarisha zaidi mahusiano ya watu ...hasira ,chuki na gadhabu zinasbabisha poor perfomance ndani ya nyumba ..unakuwa mkali kwa watoto na hasira zisizo na msingi ..kuingia JF naona kama kwenda kituo cha police

aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!Kweli Uchaguzi 2010 :tape:
 
Baba Gift umekuwa kama mie nimepoteza siku zangu mpaka mambo ya ndani ya nyumba ,,hii inahatarisha zaidi mahusiano ya watu ...hasira ,chuki na gadhabu zinasbabisha poor perfomance ndani ya nyumba ..unakuwa mkali kwa watoto na hasira zisizo na msingi ..kuingia JF naona kama kwenda kituo cha police

aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!Kweli Uchaguzi 2010 :tape:

Pole sana mama wa kwanza.....siku zilipoteaje tena?
 
Baba Gift umekuwa kama mie nimepoteza Mood ya kila kitu mpaka mambo ya ndani ya nyumba ,,hii inahatarisha zaidi mahusiano ya watu ...hasira ,chuki na gadhabu zinasbabisha poor perfomance ndani ya nyumba ..unakuwa mkali kwa watoto na hasira zisizo na msingi ..kuingia JF naona kama kwenda kituo cha police

aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!Kweli Uchaguzi 2010 :tape:

:doh::doh::doh::tape::tape::tape: Ngoja nicheki kama nina ANTI VIRUS
 
Pole sana mama wa kwanza.....siku zilipoteaje tena?


Tafadhari mtoto mzuri sitaki utani sasa ooho kipindi hiki unaweza kukwazana hata na baba mkwe ..
Na ukirudia Asprin ..najua ulivunjika nanihii ......unaendeleaje kuanzia kipindi cha maseji mpake leo??
 
Baba Gift umekuwa kama mie nimepoteza Mood ya kila kitu mpaka mambo ya ndani ya nyumba ,,hii inahatarisha zaidi mahusiano ya watu ...hasira ,chuki na gadhabu zinasbabisha poor perfomance ndani ya nyumba ..unakuwa mkali kwa watoto na hasira zisizo na msingi ..kuingia JF naona kama kwenda kituo cha police

aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!Kweli Uchaguzi 2010 :tape:

umeonaa eeehhhh!?
yaaani yani yani yani dah!
mi hata mood ya kazi sina yani.....
noja nikajicheck na DRY WINE ya savannah kwanza........
 
Kaizer mbona ametulia sana ? Nijulisheni kama amepoteza jimbo lake


Nipo, nimepoteza hamu, ila nikimfikiria Tundu Lisu, Halima Mdee, Mnyika, Mbowe, Lema, Wenje, Msigwa, Mr II, Selasini....hamu kama inarudi gafla.....
 
Tafadhari mtoto mzuri sitaki utani sasa ooho kipindi hiki unaweza kukwazana hata na baba mkwe ..
Na ukirudia Asprin ..najua ulivunjika nanihii ......unaendeleaje kuanzia kipindi cha maseji mpake leo??

Tangu yule physiotherapist ahamishwe na kuletwa dume, kiuno kimejiponea chenyewe:nono::nono::nono:
 
Nipo, nimepoteza hamu, ila nikimfikiria Tundu Lisu, Halima Mdee, Mnyika, Mbowe, Lema, Wenje, Msigwa, Mr II, Selasini....hamu kama inarudi gafla.....

Hommie hebu kuwa specific hapo. Hamu ya?:doh::doh::doh:
 
Back
Top Bottom