Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Nadhani ubabe anaoufanya unamaana na alishauriwa hivyo kwa mazingira ya sasa
imagine uhuru wa maoni na maandamano aliotuachia JK ungeachwa uendelee mikutano ya siasa isingepigwa ban pengine kila siku watu wangekuwa mabarabarani wanachoma moto matairi polisi wangepata tab sana
pengine kusingekuwa na watu wasiojulikana na kupoteapotea kwa watu ...: watu wangeizoea dola watu wasingeiogopa dola watu wangeichezea dola na hatimaye kutawala ingekuwa ngumu watu wasingetawalika vurugu za kijamii zingekuwa nyingi
nadhani ndio maana magufuli anakuwa alivyo ili iwe rahisi kuwatawala watu bila hivyo discipline ingekuwa zero
angalau Leo nimeamka vizuri na mzee magu!!!!
imagine uhuru wa maoni na maandamano aliotuachia JK ungeachwa uendelee mikutano ya siasa isingepigwa ban pengine kila siku watu wangekuwa mabarabarani wanachoma moto matairi polisi wangepata tab sana
pengine kusingekuwa na watu wasiojulikana na kupoteapotea kwa watu ...: watu wangeizoea dola watu wasingeiogopa dola watu wangeichezea dola na hatimaye kutawala ingekuwa ngumu watu wasingetawalika vurugu za kijamii zingekuwa nyingi
nadhani ndio maana magufuli anakuwa alivyo ili iwe rahisi kuwatawala watu bila hivyo discipline ingekuwa zero
angalau Leo nimeamka vizuri na mzee magu!!!!