Jiggy El Jefe
Senior Member
- Aug 10, 2017
- 143
- 170
Hivi ukisikia watu wanasema mwanamke huyu ni 'wife material', unaelewa nini?
mwanamke mwenye kila sifa nzuri,, ya kuwa mke bora,, nasiyo bora mwanamke
Kama ww?!
Nijuze sifa kwa mwanamke hadi kuitwa au kutunukiwa kuwa yeye ni "Wife material" naomba kuzifahamu tafadhari!!!mwanamke mwenye kila sifa nzuri,, ya kuwa mke bora,, nasiyo bora mwanamke
Umemaliza kabisamwanamke anaye jielewa , ambaye yupo tayari kuwa kuingia kwenye makubaliana ya familia tatu,, ya mwenza wake, yakwake yaani nyumbani kwao,, na atakayo iyanzisha yeye na mwenza wake,,, pia mchapakazi asiwe goal keeper,,, mwenye ushaur kwa mwenza wake nini kizuri nini kibaya,, mwenye upendo lazima amani itakuwepo,, mwenye tabia njema , hekima na busara,, na mwisho mwenye hofu ya mungu. ni mtazamo wangu .
,, powaa mkuuUmemaliza kabisa
Ooohhh!!! Sawa "Wifeeee materiallllllll" hawa wanawake wa sifamhizi wapo kweli?? Katika 100 wapo wangapi kwa mfano???mwanamke anaye jielewa , ambaye yupo tayari kuwa kuingia kwenye makubaliana ya familia tatu,, ya mwenza wake, yakwake yaani nyumbani kwao,, na atakayo iyanzisha yeye na mwenza wake,,, pia mchapakazi asiwe goal keeper,,, mwenye ushaur kwa mwenza wake nini kizuri nini kibaya,, mwenye upendo lazima amani itakuwepo,, mwenye tabia njema , hekima na busara,, na mwisho mwenye hofu ya mungu. ni mtazamo wangu .
swali zuri mkuuOoohhh!!! Sawa "Wifeeee materiallllllll" hawa wanawake wa sifamhizi wapo kweli?? Katika 100 wapo wangapi kwa mfano???
Nawiwa kuwafahamu mkuu nijue nitampataje???swali zuri mkuu
Ukisubiria kumpata wa sifa zote hizo utakua babu na hautampata. Ww angalia awe nazo hata nusu ya hizo. Otherwise ukweli ndo huo hapo hizo ndo sifa anazotakiwa wife material awe nazo.Nawiwa kuwafahamu mkuu nijue nitampataje???
Basi kumbe kuna wife material "HEWA" kama kumpata naweza hadi kuzeeka!!!!Ukisubiria kumpata wa sifa zote hizo utakua babu na hautampata. Ww angalia awe nazo hata nusu ya hizo. Otherwise ukweli ndo huo hapo hizo ndo sifa anazotakiwa wife material awe nazo.
Hata mm huaga nadhaniaga hivyo mkuu "Attitude ya mtu iko based on how you treat them" Wife material hawez kua machoni mwa kila mtu...nadhani Kila mmoja ana haki ya kusema hilo kulingana na mazingira yake. Unaweza ukamuona ni wife material mwingine akamuona ni Stripper MaterialBasi kumbe kuna wife material "HEWA" kama kumpata naweza hadi kuzeeka!!!!
Anyway,, kupendezwa na mwanamke inategemeana na mtazamo wa mwanamme husika,,unaweza kumuita wife material mwingine akamuona wa kawaida sana hata kama ana tabia zote hizo!
Lakini ni kweli wa apo but huenda hata wao hawajijui vizuri ,,Nina pata mashaka kuwa kuchagua chagua sura kunaweza kufanya upishane na wife material!!
Hakika !!!Hata mm huaga nadhaniaga hivyo mkuu "Attitude ya mtu iko based on how you treat them" Wife material hawez kua machoni mwa kila mtu...nadhani Kila mmoja ana haki ya kusema hilo kulingana na mazingira yake. Unaweza ukamuona ni wife material mwingine akamuona ni Stripper Material
SureBasi kumbe kuna wife material "HEWA" kama kumpata naweza hadi kuzeeka!!!!
Anyway,, kupendezwa na mwanamke inategemeana na mtazamo wa mwanamme husika,,unaweza kumuita wife material mwingine akamuona wa kawaida sana hata kama ana tabia zote hizo!
Lakini ni kweli wa apo but huenda hata wao hawajijui vizuri ,,Nina pata mashaka kuwa kuchagua chagua sura kunaweza kufanya upishane na wife material!!