Wife Anazingua

Wife Anazingua

Joined
Mar 19, 2008
Posts
98
Reaction score
24
Habari MMU.

Jumanne jioni tulipata mgeni nyumbani kwetu (Housegirl). J5 asubihi nkamuacha wife na hsg home nkaenda kazini. Kabla ya kumleta yeye ndiyo alikuwa anamtaka na kusistiza ni muhimu atusaidie shughuli za hapa Home anachoka sana. Alionyeshwa picha tuliyotumiwa kwa email na kumhoji maswali kwa simu kabla sijatuma nauli (100,000) aje. Hsg katoka mbali sana Bukoba tulimpata kutokana ya kuwa ni mdogo wa Hsg wa rafiki yangu.

Cha ajabu ni kuwa toka alhamis wife aliniomba tumrudishe kwao eti hamtaki, mi nkamsihi ampe mda amzoee. Aliendelea kusema hamtaki mpaka jana usiku ukazuka ugomvi mkubwa kati ya mimi na yeye. Mwanamke haelewi kasimama kidedea Hsg aondoke. Hakuna kosa alilofanya mdada wa watu tena mpole sana. Namuuliza mke wang tatizo ama kosa lake hana hata moja anachojua yeye binti arudi kwao. Eti jamani utamfukuzaje mtu bila Kosa?

Mpaka sasa sababu kubwa ni kuwa roho yake inamchukia na anahisi si mtu mzuri. Kwa kuwa namtetea na sioni mantiki ya Hsg kufukuzwa jana kazusha kuwa nimempenda na nataka nitembee nae. Kila ninalomwambia aelewi mpaka sasa yeye kang'ang'ania Hsg lazma aondoke. Naona aibu kwa rafiki yangu aliyotutafutia kumrudisha tena kwako huyu bint tena bila kosa. Pia sitaki wanaume wenzangu ambao wananikubali waone kuwa naburuzwa na mwanamke.

Kilichonifanya niandike hapa ni kuwa kasema kama Hsg haondoki mpaka kesho basi ataondoka yeye aniache naye. Mimi nafikiria kukomaa kama anaenda na aende sitaki anipande kichwani au nakosea? Nishaurini jamani maana tatizo ni kwa nini analotaka lake na ni lazma liwe?



UPDATE


  • Ahsanteni sana kwa ushauri wenu ingawa ni tofauti na nlivyofikiria nimefuata mawazo ya wengi.
  • Nimeongea na rafiki yangu aliotutafutia na alimuomba nimpeleke kwake na ndivyo nlivyofanya asubui hii ya leo nimempitisha ninavyoenda kazini, Kwa sasa binti yupo na dada yake kwenye nyumba moja.
  • Kuna wengine walihoji kuhusu hsg kuwa na email, Mkisoma maelezo hapo juu utajua kuwa dada wa hsg tuliyeletewa anafanya kazi kwa rafiki yangu, Picha ilitoka kwa dada yake na best yangu ali scan na kututumia ili tumu aprove kabla hajaja. Wife aliiona picha na kuongea naye kwa simu.
  • Mpaka sasa hana sababu yeyote ya maana ya kumkataa.
  • Kwa mlioomba Hsg kidogo itakuwa ngumu, best kakataa kwa usalama wa binti maana yeye ndio anawajibika kwa wazazi wake.


Mwisho wa yote nilijishusha na kukubali kushindwa. Leo nimefanya anavyotaka yeye sasa namsubiri kwa hamu aanzishe jingine tena.
Ahsanteni kwa mawazo yenu. Si mjaji wa huku sana hivyo sitaweza kujibu maswali yenu papo kwa hapo.
 
Habari MMU.

Jumanne jioni tulipata mgeni nyumbani kwetu (Housegirl). J5 asubihi nkamuacha wife na hsg home nkaenda kazini. Kabla ya kumleta yeye ndiyo alikuwa anamtaka na kusistiza ni muhimu atusaidie shughuli za hapa Home anachoka sana. Alionyeshwa picha tuliyotumiwa kwa email na kumhoji maswali kwa simu kabla sijatuma nauli (100,000) aje. Hsg katoka mbali sana Bukoba tulimpata kutokana ya kuwa ni mdogo wa Hsg wa rafiki yangu.

Cha ajabu ni kuwa toka alhamis wife aliniomba tumrudishe kwao eti hamtaki, mi nkamsihi ampe mda amzoee. Aliendelea kusema hamtaki mpaka jana usiku ukazuka ugomvi mkubwa kati ya mimi na yeye. Mwanamke haelewi kasimama kidedea Hsg aondoke. Hakuna kosa alilofanya mdada wa watu tena mpole sana. Namuuliza mke wang tatizo ama kosa lake hana hata moja anachojua yeye binti arudi kwao. Eti jamani utamfukuzaje mtu bila Kosa?

Mpaka sasa sababu kubwa ni kuwa roho yake inamchukia na anahisi si mtu mzuri. Kwa kuwa namtetea na sioni mantiki ya Hsg kufukuzwa jana kazusha kuwa nimempenda na nataka nitembee nae. Kila ninalomwambia aelewi mpaka sasa yeye kang'ang'ania Hsg lazma aondoke. Naona aibu kwa rafiki yangu aliyotutafutia kumrudisha tena kwako huyu bint tena bila kosa. Pia sitaki wanaume wenzangu ambao wananikubali waone kuwa naburuzwa na mwanamke.

Kilichonifanya niandike hapa ni kuwa kasema kama Hsg haondoki mpaka kesho basi ataondoka yeye aniache naye. Mimi nafikiria kukomaa kama anaenda na aende sitaki anipande kichwani au nakosea? Nishaurini jamani maana tatizo ni kwa nini analotaka lake na ni lazma liwe?

Mkuu namuomba mimi huyo HG endapo ukiamua kulegeza msimamo. Nina shida kweli na HG...
 
tuwekee picha ya house gal na ya wife wako then tutakushauri vzr!
 
Mh!we unamng'ang'ania wa nn?akiondoka kazi c anafanya mkeo?kuna kitu mkeo atakua ame hisi kati yako na hg!hta mm nishahisi!hii kauli hii,kama anaenda na aende heheeeee!somethng is wrong somewhre!
 
Mkuu ukitaka amani ya roho yako hayo mambo achana nayo weee tafuta chapaa hakikisha supplies zipo hayo ya msaidizi achana nayo kabisaaaaa!!!!!!!

Akimfukuza akimuacha wewe ndio iwe mwanzo na mwisho kushiriki katika hilo utapata amani la sivyo utakuwa HR manager hapo wa kuajiri na kutimua!!!!!
 
Habari MMU.

Jumanne jioni tulipata mgeni nyumbani kwetu (Housegirl). J5 asubihi nkamuacha wife na hsg home nkaenda kazini. Kabla ya kumleta yeye ndiyo alikuwa anamtaka na kusistiza ni muhimu atusaidie shughuli za hapa Home anachoka sana. Alionyeshwa picha tuliyotumiwa kwa email na kumhoji maswali kwa simu kabla sijatuma nauli (100,000) aje. Hsg katoka mbali sana Bukoba tulimpata kutokana ya kuwa ni mdogo wa Hsg wa rafiki yangu.

Cha ajabu ni kuwa toka alhamis wife aliniomba tumrudishe kwao eti hamtaki, mi nkamsihi ampe mda amzoee. Aliendelea kusema hamtaki mpaka jana usiku ukazuka ugomvi mkubwa kati ya mimi na yeye. Mwanamke haelewi kasimama kidedea Hsg aondoke. Hakuna kosa alilofanya mdada wa watu tena mpole sana. Namuuliza mke wang tatizo ama kosa lake hana hata moja anachojua yeye binti arudi kwao. Eti jamani utamfukuzaje mtu bila Kosa?

Mpaka sasa sababu kubwa ni kuwa roho yake inamchukia na anahisi si mtu mzuri. Kwa kuwa namtetea na sioni mantiki ya Hsg kufukuzwa jana kazusha kuwa nimempenda na nataka nitembee nae. Kila ninalomwambia aelewi mpaka sasa yeye kang'ang'ania Hsg lazma aondoke. Naona aibu kwa rafiki yangu aliyotutafutia kumrudisha tena kwako huyu bint tena bila kosa. Pia sitaki wanaume wenzangu ambao wananikubali waone kuwa naburuzwa na mwanamke.

Kilichonifanya niandike hapa ni kuwa kasema kama Hsg haondoki mpaka kesho basi ataondoka yeye aniache naye. Mimi nafikiria kukomaa kama anaenda na aende sitaki anipande kichwani au nakosea? Nishaurini jamani maana tatizo ni kwa nini analotaka lake na ni lazma liwe?
Hayawihayawi Sasa yamekuwa.... Muheshimu wife wako ambaye mmetoka mbali na mnamsafara wa mbele kukamilisha...
Samahani kama ntakukwazaa Mama watoto wako anafahamu ya ndani ya nyumba na wewe kama Dume unafahamu nje ya nyumba " just give a break" mpeleke Hsgel kwao au mnadi kwa mwenye kumhitaji kikazi !! No sweat hapo... Ishii na wife wako in PEACE and make your home a place to live, Acha ubabe wako na kukomalia Unnecessarly. GOOD LUCK
 
Wanawake wengine yani utadhani huwa wana wadudu vichwani mwao. Ila cha kufanya mkuu ni kujaribu kuongea nae vizuri huyo my wife wako, jaribu kushuka chini akuelezee ni nn haswa sabau ya kutaka huyo HG aondoke
 
Toto la Kihaya limempa Presha Mkeo,

Ni wivu tu wa Mkeo,lakini yupo sahihi Mwanamke anae chunga Ndoa yake hana kosa hata kidogo.

Ruhusu hg aondoke,Ghrama ya Mahusiano yako na Mkeo ni kubwa,

Wasiliana Na TUKO hapo juu yeye anamuhitaji
 
Msikilize mkeo kwa sababu huyo beki 3 huenda akawa na tabia mbovu coz wanawake wanajuana
 
Afu siku nyingine mambo ya recruitment ya mahuc gel inafanywa na mama...wewe hiyo c o business yako wewe ni kufacilitate tu..mama anachagua wewe unawezesha afike hom na c rafiki yako kwa lugha nyepesi..
 
tatizo ni kwa nini
analotaka lake na ni lazma liwe? Hii sentensi ya mwisho inaonekana kwa vitu vingi tu. Ni mwembamba na mdogo dogo kama ndivyo ni PM ahamie kwangu huyo hsg maana wangu mie amefaulu
 
Back
Top Bottom