Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
Habari zenyu wakuu na heri ya chrissmass na mwaka mpya
Samahani nahitaji mtu/kampuni awezaye kufuma au kuunda wi-fi katika eneo nilipo, kama yupo humu basi aniambie gharama zipoje.
Shukrani.
Samahani nahitaji mtu/kampuni awezaye kufuma au kuunda wi-fi katika eneo nilipo, kama yupo humu basi aniambie gharama zipoje.
Shukrani.