Wi-fi router za yas saiv ndio habari ya mjini, utaenjoy hadi basi!

Wi-fi router za yas saiv ndio habari ya mjini, utaenjoy hadi basi!

ZOYA internet

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
202
Reaction score
384
UNAONA UNAVYOHANGAIKA KUNUNUA BANDO KILA SIKU? WI-FI ROUTER ZA YAS (TIGO) NDO KITU PEKEEE KINGEKUSAIDIA

Kua na wi-fi router kuna faida nyingi sana, kama unajiweza kidogo, jitahidi usikose kifaa hiki.
1. Ukiwa na wi-fi unaweza kukuza biashara yako. kwasababu wateja watapenda kuja ofisin kwako wakijua kuna wi-fi, pia wewe utakua huru kupost biashara zako mtandaoni ukiwa hauhofii kuishiwa bando.

2. Kuokoa gharama za bando. Ukweli ni kua bando za kawaida zinaumiza sana mana ukipiga hesabu hata kama unatumia gb 1 tu siku ambayo inauzwa 2100 basi kwa mwezi unatumia 63000. Zidisha kwa watu wote mliopo kwenye ofisi, taasisi au nyumbani kwenye familia yako na majirani au watu mbali mbali mtakaoenda kuitumia wifi router hiyo, utakuta hela ni kubwa sana mnayotumia. Kukata hizo cost zote mngechukua wi-fi router ya tigo mana inaunganisha hadivifaa 64 (user), yani watu 64 wote mnatumia bando unlimited

3. Wi-fi router za tigo zina speed kubwa na zina technology ya 5G pia hazisumbui au kukata katikati ya mwezi, speed kuanzia 20mbps hadi 200mbps hivyo utakua na stable internet connection mda wote.
4. Kifaa ni portable yani kinabebeka kirahisi unaweza kuhamisha, mfano kutoka ofisini kwenda nyumbani kwenye gari unaweza kutembea nacho huku wi-fi ikiwa inafanya kazi. Pia kifaa kinasambaza wi-fi eneo kubwa, zaidi ya mita mia.

4. Ukiwa na wi-fi router, utatumia vifaa vingi vyenye kutumia bando kubwa bila shida, mfano computer (pc), smart tv, PlayStation nk. Speed ya mtandao nikubwa unaweza ku stream video ya 4k bila kukwama kwama hata kidogo

UTARATIBU WA MALIPO MARA YA KWANZA.
Mara ya kwanza unalipia kiasi cha sh.250,000, (mwezi unaofuata na kuendelea unalipia laki 1 tu) kiasi hicho ni kwaajili ya kupatiwa kifaa(router) pamoja na bando unlimited lenye speed ya Mbps 100. Pia utapewa offer mwezi unaofuata hautalipia, kwahiyo ukishatoa hiyo 250000 miezi miwili yote utatumia wi-fi router yako bila kulipia, utaanza kulipia mwezi wa tatu na kuendelea. Pia kuna router ndogo za 130,000 bando lake ni unlimited pia. Ukitaka unlimited bando kwenye lain yako tu utumie bila wifi router ni laki moja kwa miez 3

UTARATIBU WA KULIPIA KILA MWEZI MARA YA PILI NA KUENDELEA!

Uzuri wa huduma hii ni kua unaweza kulipia kidogo kidogo kila mwezi hadi umalize, kikubwa ndani ya mwezi ukamilishe kulipia 100k

KUFIKISHIWA KIFAA(DELIVERY)
ukishafanya malipo kupitia menu ya mix by yas, utaniambia sehem ulipo popote Tanzania utatumiwa kifaa bila kutoa gharama za usafiri yani free delivery. Hutajuta kujiunga na huduma hii.

Mawasiliano: 0717700921

Karibu sana uenjoy kua online 24/7 na wi-fi yenye speed!!!
 

Attachments

  • Screenshot_20250704_070638_Speedtest.jpg
    Screenshot_20250704_070638_Speedtest.jpg
    192.9 KB · Views: 37
  • Screenshot_20240815_214320_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20240815_214320_WhatsAppBusiness.jpg
    196.7 KB · Views: 34
. I natumia halotel ya, 50 k japo speed sio kubwa sana km tigo ila uwezo wangu umeishia hapo. Tigo wangekuwa nayo ya 50 ningekimbia faster
 
Kuna maadhaifu gani, niambie niweze kuyafanyia kaz
Bei halisi ni ipi achana na awamu za malipo, sema tu inauzwa laki 3, kwa laki 1.

Ya laki 3 bando zake zikoje, na ya laki bando zikoje?

Na kati ya hizo ukilipia ofa zake zikoje
 
Bei halisi ni ipi achana na awamu za malipo, sema tu inauzwa laki 3, kwa laki 1.

Ya laki 3 bando zake zikoje, na ya laki bando zikoje?

Na kati ya hizo ukilipia ofa zake zikoje
Ya laki mbili na nusu unapewa miezi miwili bila kulipia. Na ni kubwa inaconnect vifaa vingi. Ya 100 k inakonect vifaa vichache bei za malipo ya kila siku zinafanana kwa vifaa vyote na ni kulingana na mbps unazohitaj.

70k mbps 10
100k mbps 20
150k mbps 50
200k Mbps100
400K mbps 200
 
Voda
Yas
Airtel 50%
Halotel
Useme kwa mapenz yako tu na eleo lako, au useme wewe ni muuzaji ndio mana unasemea mtandao unaouza ila sio kwamba kuna fact yoyote au kama upo tumpe mteja mmoja ya airtel na yas zote azitumie alafu arudishe feedback hapa
 
Me nasubiri confirmation Zaid juu ya yas internet
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom