Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
... wengine wanalialia wakati wa mambo ya raha lakini cha ajabu huoni tone la chozi...siwaelewi.wanalialia kwa kuwa wanataka kuonewa huruma.wao hata wakati wa mambo ya raha wanalia
... wengine wanalialia wakati wa mambo ya raha lakini cha ajabu huoni tone la chozi...siwaelewi.wanalialia kwa kuwa wanataka kuonewa huruma.wao hata wakati wa mambo ya raha wanalia
hahaaaaaaaaaaaaaaaa Muhanga nomba nimseee Masaki
ni HE......(kuchombezea kuwa yeye ni he ataongeza mwenyewe)
oook! u know nilitaka kupata more experience kutoka kwake kama angekuwa SHE! hizo siri wanazozimiliki ziwafanye wawe wanalialia ni nini hasaa.
kuna dume mmoja alisema eti "ukiona mwanamke wako analia wakati mkifanya mapenzi kuna mawili: either kakumbuka dume lake la nje linavyomfanyiaga, akikompare na wewe ndio analilia huyo jamaa au unamkera kwa hali yoyote ile katika tendo hilo, ila uwezo wa kukwambia chomoa hana ndio anaishia kulia (hao ni kwa wale wanaotoa machozi) hawa wanaopiga mayowe na miguno nahisi ni either utamu au maumivu....... "
ila machozi hayatoki chunguza mkuu kelele kweli mpaka majirani wanasikia ila akuna tone la chozi
hahaaa Hata mie sikuwa na comments kwa hilo. lakinii haya maoni yalitoka kwa mwanamume!!!!!!mmh no comment hapo Muhanga!!!
Muhanga mambo mama? Nimekumisi kweli yani? Ndo nini sasa unachonfanyia?hahaaa Hata mie sikuwa na comments kwa hilo. lakinii haya maoni yalitoka kwa mwanamume!!!!!!
how did you know that ... r u 'she'???
wakati wa 'mambo ya raha' mtu hatakiwi kulia eti kwa kutoa machozi!!! huo ni wizi wa mchana au ni maumivu makali ambayo mtu anapata, kinachotakiwa ni miguno na vijikelele vya raha na sio kilio!!!... wengine wanalialia wakati wa mambo ya raha lakini cha ajabu huoni tone la chozi...siwaelewi.
yeuwii!!! yepi hayo anakufanyia?? (nipe maelezo yanayojitosheleza)Muhanga mambo mama? Nimekumisi kweli yani? Ndo nini sasa unachonfanyia?
mambo ni poa tu bro, nipo tu ndugu yangu huwezi amini niko ESAMI shuleni, shule ilinibana ila kidogo napata mda wa kuchungulia na huku pia kupunguza makali ya kitabu... usijali sana hata mie nimekumiss, 'sijakuona' kitambo, mambo vp?Muhanga mambo mama? Nimekumisi kweli yani? Ndo nini sasa unachonfanyia?
Ukiondoa kukumisi. mengine yote shwari. Afu pale Zero pub Kokoto wameziboresha, nlitaka nikutwange na kadhaa kumbe mwenyewe uko mbali. Dah! Imekula kwangu!mambo ni poa tu bro, nipo tu ndugu yangu huwezi amini niko ESAMI shuleni, shule ilinibana ila kidogo napata mda wa kuchungulia na huku pia kupunguza makali ya kitabu... usijali sana hata mie nimekumiss, 'sijakuona' kitambo, mambo vp?
Ukiondoa kukumisi. mengine yote shwari. Afu pale Zero pub Kokoto wameziboresha, nlitaka nikutwange na kadhaa kumbe mwenyewe uko mbali. Dah! Imekula kwangu!
yeuwii!!! yepi hayo anakufanyia?? (nipe maelezo yanayojitosheleza)
apo mbona sio mbali hommie hebu fanya the needful bana...mtu hajakuoana ati!
mambo ni poa tu bro, nipo tu ndugu yangu huwezi amini niko ESAMI shuleni, shule ilinibana ila kidogo napata mda wa kuchungulia na huku pia kupunguza makali ya kitabu... usijali sana hata mie nimekumiss, 'sijakuona' kitambo, mambo vp?
Good news kama pameboreshwa maana matope yaliziki,with 5, 6 btls unaweka ukaanguka ukavunja miguu na umri huu itakuwa taabu kuunga! lakini bd haijakula kwako karibu namaliza nikirudi tunaendelea na mambo yetu yaleeee! take easy mine!Ukiondoa kukumisi. mengine yote shwari. Afu pale Zero pub Kokoto wameziboresha, nlitaka nikutwange na kadhaa kumbe mwenyewe uko mbali. Dah! Imekula kwangu!
kweli mammy usipo kaza buti unaweza ukaumbuka, sasa sijui unakagua vipi madaftari ya watoto wakati wewe mwenyewe umefail! kaazi kwelikweli!kumbe na wewe uko ESAMI ..kaza buti mamy hiki kitabu cha uzeeni tunachosoma ni issue sana..mala unawaza mboga hakuna nyumbani ..mala watoto wanadaiwa ada nk nk
kumbe na wewe uko ESAMI ..kaza buti mamy hiki kitabu cha uzeeni tunachosoma ni issue sana..mala unawaza mboga hakuna nyumbani ..mala watoto wanadaiwa ada nk nk
Good news kama pameboreshwa maana matope yaliziki,with 5, 6 btls unaweka ukaanguka ukavunja miguu na umri huu itakuwa taabu kuunga! lakini bd haijakula kwako karibu namaliza nikirudi tunaendelea na mambo yetu yaleeee! take easy mine!