Hiki ni kitu ambacho serikali ingewekeza nadhani ingemaliza kabisa tatzo la njaa nchini....mpaka saivi nipo tabora wilaya ya nzega nilikuja kwa ajili ya kilimo cha mpunga....kilichotokea ni kwamba mwanzoni mwa January mvua ilikuwa kubwa sana kiasi kwamba haikuwezekana kuendelea na kilimo tena....maji yalijaa sana mashambani kwa takribani wiki 2....then mvua ikakata katkat ya January.... Maji yote yalokuwepo yalikuwa yashapita...and yalobaki yanakauka kwa speed kiasi kwamba maeneo mengi haiwezekani tena kupandikiza mpunga...nilikuwa nawaza tu kama kungekuwa na miumdombinu ya kuvuna maji nadhani wakulima wangekuwa wanalima mwaka mzima.....badala ya kununua a lots of bombardier nadhani serikali ingewekeza kwenye hii kitu....sio tabora tu....Moro.... Dodoma....kuna sehemu maji ya mvua huwa yanakuwa mengi sana