mnakata network kila siku kwan nyie mna tatizo au utofaut gan na mitandao mingine?????? we are tired with u Tigo
Ndiyo uzuri wa soko huria....ukiwachoka unahamia mtandao mwingine...rahisi sana..tulalamike kwa mambo ambayo hatuna mbadala.....Tanesco, Dawasco nk.......mnakata network kila siku kwan nyie mna tatizo au utofaut gan na mitandao mingine?????? we are tired with u Tigo
Hamieni wote ttcl mobile kama mimi!
Ukiona mtu analalamikia mtandao wa tigo ujue huyo ni mkazi wa dar tu mikoani huwezi kumkuta mtu analalamika kuhusu tigo
Yani hawa ndio usiseme kabisa mkuu. Mimi leo nimekwenda kwao,nilihitaji huduma ya nduki.Jibu nililopata,kama isingekuwa mvua imenyesha,ningekaa chini nikachekaaa mpaka basi. Dada niliyemkuta mapokezi,mbali na kuniambia kwamba ile huduma ni kwa wale wenye simu za mezani tu,lakini alinishauri nisitumie huduma hiyo. Amesema mwanzo ilikuwa iko fresh,lakini kwa sasa wateja wengi wanalalamika sana kutokana na speed kudrop kwa kasi ya ajabu.
Mimi nipo Moshi nimeishaachana na huduma yao,coz saa inaisha sijadownload hata 100MB,huu si wizi kabisa! Wanasema malipo kwa saa halafu wanabana speed,mi hata sitaki kuwasikia kabisa. Labda nyie mlio mikoa mingine mnapata speed nzuri,ila huku nilipo ni michosho tu.
Yani hawa ndio usiseme kabisa mkuu. Mimi leo nimekwenda kwao,nilihitaji huduma ya nduki.Jibu nililopata,kama isingekuwa mvua imenyesha,ningekaa chini nikachekaaa mpaka basi. Dada niliyemkuta mapokezi,mbali na kuniambia kwamba ile huduma ni kwa wale wenye simu za mezani tu,lakini alinishauri nisitumie huduma hiyo. Amesema mwanzo ilikuwa iko fresh,lakini kwa sasa wateja wengi wanalalamika sana kutokana na speed kudrop kwa kasi ya ajabu.
Mimi nipo Moshi nimeishaachana na huduma yao,coz saa inaisha sijadownload hata 100MB,huu si wizi kabisa! Wanasema malipo kwa saa halafu wanabana speed,mi hata sitaki kuwasikia kabisa. Labda nyie mlio mikoa mingine mnapata speed nzuri,ila huku nilipo ni michosho tu.