Why Tanzanians fear EAC federation

Why Tanzanians fear EAC federation

Konyagi na safari lager ingeweza pita kooni mwetu freely, kama vile tusker na vileo vingine labda due to demand watu wange import, vile vile bidhaa zingine zingekuwa zina apeal ama ziko superior than what we already have in our market, then hiyo demand ya hizo bidhaa inge lead to imports.

Msiseme mnaekewa bottle necks ku export bidhaa zenyu Kenya wakati in reality the only export that did well in Kenya is white dent (of which am not a hundred % sure if its Tanzanian) and Ngetwa (those herbal remedies) and your Bongo flava and Taarab (Albata).. concentrate on this four things and you'll make paper, leave the manufacturing and professionals like IT to us..

Kama IT na manufacturing ni kufunga na kufungua mageti ya wahindi, na kama ni kubeba mizigo na magudulia ya maziwa kwenye viwanda vya Uhuru Kenyatta, then mko juu.

Mmeendelea kwa kuwa makuli. Whatever the case, tunawaomba mkae kwenu, hatuwahitaji na njaa zenu. Tuna vipaumbele vyetu, tuna maadui wa ndani wengi, subiri tuwamalize then we will take you on.
 
Tatizo la Tanzania ni kwamba kuna ombwe la uongozi. Nilimsikia rais Kikwete akisema juu ya EAC kuwa ni uamuzi wa raia. Yaani yeye yupo yupo tu hana maoni, either pro or con kuhusu jumuiya ya afrika mashariki. Sasa katika hali kama hii hili ombwe litazaa hofu zinazowapelekea Watanzania kuogopa kuwa ardhi yao itachukuliwa na majirani. What nonsense!
 
To our fellow good neighbors, I gotta few things to say;
We love you so much and we can continue to do business
with you but this one thing I want y'all to open up your ears...

"Get Your Nose Off Of Our Land!"
 
Samwel-Sitta.jpg


Minister for East African Cooperation, Samwel Sitta

As more countries show interest in joining the East African Community (EAC), the Minister for East African Cooperation, Samwel Sitta yesterday said that many Tanzanians fear losing their national identity in political integration.

Speaking after launching the Tanzania National Chapter of EAC Vision Group in Dar es Salaam, Sitta said some people are worried that what has been happening between Tanzania Mainland and Zanzibar might also happen in the community.

"Tanzanians fear losing their national identities. Others worry that the current confusion between Tanzania Mainland and Zanzibar may persist once the integration is realised", he said.

Sitta named the four countries which have expressed interests to join the EAC bloc as Ethiopia, Somalia, Southern Sudan and the Democratic Republic of Congo.

He said Southern Sudan is expected to officially join the community on July 1st, this year and that only its official request is awaited.

According to the Minister, other concerns is the increasing competition for jobs, land grabbing and economic panic, whereby all the countries will have to agree on inflation rates, financial policies and have similar budget plans.

He however called for transparent and enhanced participation of youth and civil organisations in discussions of EAC matters. He said many people are not aware of what was going on in the government and the community.

Sitta said there was no need of too much confidentiality in EAC issues since the government is deciding on people's interest.

"You can't decide on behalf of the people and deny them access to such information. Most of the citizens are ignorant of the issues in the Union. They only hear about them through the media", he said.

He said people's fears arise from the lack of information. He said the inclusion of youths in discussions is crucial since they are the ones who will benefit from the integration.

"One of my top agendas is to enhance youth participations in EAC matters. The Community is for the youth", he stressed.

He said good governance and democracy are synonymous with economic growth and development. Countries that pursue good governance and democracy are likely to achieve higher economic growth than totalitarian regimes.

"Good governance and democracy are only relevant if they spring from the people and become embedded in their minds and vision…..democracy can neither be exported or imported like a commodity", said the Minister.

He applauded the Friedrich-Ebert Stiftung for supporting the formation of the EAC vision group which is envisaged to be regional platform and source of ideas on the appropriate approaches on regional integration.
Meanwhile, Friedrich-Ebert Stiftung Resident Director, Dr Stefan Chrobot said their aim was to create a group of people who will come up with concrete ideas on how to improve integration.

He said the group comprised academicians, youths and representatives from civil society organizations.

One of the participants, Maswe Nestory from the Tanzania Association of NGOs (TANGO) blamed the government for poor information flow. He said that most of the useful information is kept secret.

"The government should put in place proper mechanism to involve people and civil organisations at every stage", he said.

Gwakisa Makaranga from the East African Community Youth Organisation decried poor communication between the responsible ministry and civil organisations. He called on the government to ensure that Tanzanians are well represented in EAC meetings.

In their just ended summit in Dar es Salaam, East African Community Heads of State directed a team of experts working on political federation to come up with recommendations on ways to address public fears over political federation.

In a joint communiqué read by the outgoing EAC Secretary General, Ambassador Juma Mwapachu, the leaders said that the experts' report presented to them was short of such recommendations.

They urged the experts to complete and present the report during the next EAC Heads of State summit to be held in Bujumbura, Burundi in September this year.

By Felister Peter, The Guardian
 
We are fearing our land only, land law must protect our land, that for 50 years to come from the federation day each country in the federation will own its land for its people. No need of fearing what happened in zanzibar, it is rubbish and under our control, it is very minor.
 
As Some of EA member states they knew that after EAC Federation their people will get more employed in other states than other hence no balance of power... and as always all member states will be gready 4 the Arable Land Availability in TZ - They R Envious and as World Population Data Our Population is not growing fast as our Neibouring Member States.

We need to proctect all...
 
We are fearing our land only, land law must protect our land, that for 50 years to come from the federation day each country in the federation will own its land for its people. No need of fearing what happened in zanzibar, it is rubbish and under our control, it is very minor.
Watanzania ni watu wa ajabu sana. Wanawaogopa jirani zao eti watakuja kuchukua ardhi yao wakati huo huo wanawakaribisha Wakorea Kusini na Wasaudia kujilimia wenyewe wakiwapa maelfu ya maekari kwa kipindi cha miaka 99. Watu wa ajabu sana!
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana. Wanawaogopa jirani zao eti watakuja kuchukua ardhi yao wakati huo huo wanawakaribisha Wakorea Kusini na Wasaudia kujilimia wenyewe wakiwapa maelfu ya maekari kwa kipindi cha miaka 99. Watu wa ajabu sana!

Ndugu, hayo ni masuala tofauti. Hao Wakorea na Wasaudia kwa vyvyote wameingia kama wawekezaji na wana mikataba. Najua kuna rushwa na kupindisha sheria hata za TIC na siku ya siku ikifika watatakiwa kuonesha uhalali wao lakini si kuruhusu mamilioni ya watu na vijembe mgongoni eti wanakuja Tanzania kulima na kuishi milele. Tanzania haitakuwa kichwa cha mwendawazimu siku zote. Tena suala la ardhi si la mzaha, wanaochkua kinyemela iko siku watakimbizwa kama wezi. Kwani ya Mugabe waliyajua, na kwa hilo huwa namkubali sana yule comrade. Iko siku wenye akili watakamata nchi, si kila mtanzania ni juha, hivi vizee vitaondoka ingawa vimetuachia maumivu. Na kufukuza watu wachache ni rahisi kuliko hao mburukenge, maana usidhani wataondoka hivi hivi bila kupigana. Kwa utengeneze tembo ili umwue, kwa ni usiache kumtengeza ili usipate kazi ya kumwua. Watu wanahitaji kuwa na maono, siyo kujiendea kama hamnazo. Maisha siyo majaribio!
 
That is a bussiness oportunity for you to take tanzanian products to kenya. You know i hate when Africans always want to play victim. if you do not find any prodducts do somethong about it. I know for a fact that Kenyans love Tanzania and Tanzanian people.Kenya and tanzania are more similller in culture than any of the other EAC memers.If Tanzania does not want to be in the EAC we can stay with SADC but i still have not seen how we have benefited from it.
 
Why do we hate it if another black person anamaendeleo.I am not saying kenya has maendeleo but why is it good for an arab or mhindi to own buildings and land lakini sio mwafrika mwenzetu. Yes we have to address the land issue before anything else.Yes we have land but what use is it we we are not developing it. What have we gained from the southafrican minning our gold, How will we pay the chinese and can we throw them out when we are tired of them?
 
Am worried about us (Tanzanians), not Kenyans, not Ugandans. When will we be ready to fully embrace EAC? We always talk about kenyans-how about Rwandans? Kenyans and Ugandans are already in Tanzania and mayb they are already grabbing our land, what have we done so that we can also benefit from the integration? We have to accept that the integration is good for all of us, though some will benefit more than others. The is no way all EAC countries can benefit equally, equitably yes. I have noted there is an obsession between Tanzanians and Kenyans, it will not get us anywhere.
 
Why do we hate it if another black person anamaendeleo.I am not saying kenya has maendeleo but why is it good for an arab or mhindi to own buildings and land lakini sio mwafrika mwenzetu. Yes we have to address the land issue before anything else.Yes we have land but what use is it we we are not developing it. What have we gained from the southafrican minning our gold, How will we pay the chinese and can we throw them out when we are tired of them?
nKwani kuna Mkenya au mtu mwingine anayekatazwa kufuata sheria za nchi. Wamekwenda TIC wakanyimwa ardhi. Halafu, the fact kwamba naibiwa sasa hivi, haimanishi nitaendelea kuibiwa. It's about planning ahead. Na the fact kwamba siitumii ardhi yote sasa hivi, hamainishi kwamba sitaihitaji. Hapa hakuna anayeongelea Wakenya peke yao, ni wote..wawe warundi, wachina au wanyarwanda..kuna mambo ambayo hawatakiwi kujihusisha nao kabisaaaa..la ardhi likiwa na. 1. Isipokuwa kwa taratibu zilizowekwa, walishaona tunaibiwa dhahabu na tanzanite, na wao wanataka kuja kuvuna..hawatachomoka.
 
Konyagi na safari lager ingeweza pita kooni mwetu freely, kama vile tusker na vileo vingine labda due to demand watu wange import, vile vile bidhaa zingine zingekuwa zina apeal ama ziko superior than what we already have in our market, then hiyo demand ya hizo bidhaa inge lead to imports.

Msiseme mnaekewa bottle necks ku export bidhaa zenyu Kenya wakati in reality the only export that did well in Kenya is white dent (of which am not a hundred % sure if its Tanzanian) and Ngetwa (those herbal remedies) and your Bongo flava and Taarab (Albata).. concentrate on this four things and you'll make paper, leave the manufacturing and professionals like IT to us..
Arrogance! You make it sound like Kenya is all roses, we know that is not the case. Do u remember a family in turkana (kenya) that ate a dog because there was no food? We know turkana is drought striken-hunger all over the places, we watch CITIZEN TV. We need each other, bickering won't do us any good.
 
Arrogance! You make it sound like Kenya is all roses, we know that is not the case. Do u remember a family in turkana (kenya) that ate a dog because there was no food? We know turkana is drought striken-hunger all over the places, we watch CITIZEN TV. We need each other, bickering won't do us any good.


Duh, mpaka mbwa. Bora wahehe na wachina wanaokula mbwa kwa kupenda ila si kwa sababu ya njaa. And it's that chemistry that doesn't augur well that brings incompatibility!
 
Ndugu, hayo ni masuala tofauti. Hao Wakorea na Wasaudia kwa vyvyote wameingia kama wawekezaji na wana mikataba. Najua kuna rushwa na kupindisha sheria hata za TIC na siku ya siku ikifika watatakiwa kuonesha uhalali wao lakini si kuruhusu mamilioni ya watu na vijembe mgongoni eti wanakuja Tanzania kulima na kuishi milele. Tanzania haitakuwa kichwa cha mwendawazimu siku zote. Tena suala la ardhi si la mzaha, wanaochkua kinyemela iko siku watakimbizwa kama wezi. Kwani ya Mugabe waliyajua, na kwa hilo huwa namkubali sana yule comrade. Iko siku wenye akili watakamata nchi, si kila mtanzania ni juha, hivi vizee vitaondoka ingawa vimetuachia maumivu. Na kufukuza watu wachache ni rahisi kuliko hao mburukenge, maana usidhani wataondoka hivi hivi bila kupigana. Kwa utengeneze tembo ili umwue, kwa ni usiache kumtengeza ili usipate kazi ya kumwua. Watu wanahitaji kuwa na maono, siyo kujiendea kama hamnazo. Maisha siyo majaribio!
Kwanza si kweli kwamba hata tukitangaza ruhusa kwa jirani zetu kulima ardhi yetu watakuja kwa mamilioni. Unasema Wakorea na Wasaudia ni wawekezaji, kwani Warwanda, Waganda na Wakenya hawawezi kuwekeza? Kwangu mimi afadhali awekeze Mkenya na Mnyarwanda kwa sababu hawa ni watu tulio karibu nao, hawatakuwa na dharau wanazokuja nazo Wakorea na Wasaudia. And for your information, kama Wakenya wanataka ardhi yetu wataipata, na ukweli ni kwamba Wakenya tayari wako Tanzania wanalima.
 
I think Tanzanians are not stupid to worry and fear EAC. Kenya and Uganda both have major democratic crisis, people in those country are fighting for corruptions and justice and here in Tanzania we are fighting to get rid of Kikwete na his families. Why are we joining at this time while all countries have enough problems? Why a rush? If Tanzania government is failing to prosecute ccm and their friends, why we think they are going handle Kenyans and Ugandans criminals? There is hidden agendas here to pimp Tanzanians again and we know ccm never care of anything. This is another failure of Kikwete and he is ready to do anything against the citizens. Let Kikwete and Membe respond why is Tanzania going to do this, maybe he can explain.
http://af.reuters.com/article/ugandaNews/idAFLDE73T08220110430?pageNumber=2&virtualBrandChannel=0&sp=true
 
konyagi na safari lager ingeweza pita kooni mwetu freely, kama vile tusker na vileo vingine labda due to demand watu wange import, vile vile bidhaa zingine zingekuwa zina apeal ama ziko superior than what we already have in our market, then hiyo demand ya hizo bidhaa inge lead to imports.

Msiseme mnaekewa bottle necks ku export bidhaa zenyu kenya wakati in reality the only export that did well in kenya is white dent (of which am not a hundred % sure if its tanzanian) and ngetwa (those herbal remedies) and your bongo flava and taarab (albata).. Concentrate on this four things and you'll make paper, leave the manufacturing and professionals like it to us..
kenya ingekua na uchumi kama wa afrika kusini, basi sijui wangesema nini kuhusu tanzania, du mmi ina uhakika mmetuzidi lakini sio kiasi hiki kufikia kutudharau na kutukejeli, sasa kama kweli mmekua mbele toka miaka ya 60 na ukapitalism wenu na mna watu wenye elimu na ni businessminded people kuliko taifa lolote east africa,basi msingekua hapo , mngekua hata kama south africa lakini bado sana, sio kuwa na majigambo haya. Huwezi kuwa rafiki na mtu anayekukejeli kila siku na anayekudharau, sasa mnataka tuwe na shirikisho gani kama hamtupendi hivi? Eti natiolistic, conservative kichumi, propaganda nyingiiiiiii, kama kweli nyie ni watade kwa kila kitu, sidhani kama inahitaji kusema ,watu wataona tuu, mi sipendi tuu kejeli za wakenya, too much show off, IT, tunajua mna call centres labda bongo hamna lakini mambo mengine ya IT tupo pia, hatuko nyuma kiasi hicho, mlivyo na propaganda mnadiriki kupublish data eti watumia internet bongo hawafiki hata laki, ujanja mtupu, and too much show off
 
Kwanza si kweli kwamba hata tukitangaza ruhusa kwa jirani zetu kulima ardhi yetu watakuja kwa mamilioni. Unasema Wakorea na Wasaudia ni wawekezaji, kwani Warwanda, Waganda na Wakenya hawawezi kuwekeza? Kwangu mimi afadhali awekeze Mkenya na Mnyarwanda kwa sababu hawa ni watu tulio karibu nao, hawatakuwa na dharau wanazokuja nazo Wakorea na Wasaudia. And for your information, kama Wakenya wanataka ardhi yetu wataipata, na ukweli ni kwamba Wakenya tayari wako Tanzania wanalima.

Kama umesoma post zangu za nyuma, sijasema kuna mtu wa asili yoyote anayekatazwa kuwekeza Tanzania. Lakini pia, unathibitishaje kwamba mamilioni hawatakimbilia Tanzania wakat ni kweli. Wapo ma komredi wangu kina wacha1 na eliekeem wanaolijua hili, hizo nchi wanazijua na wameishi, nami nazijua pia. Mtanzania nayedhuluniwa kila siku, wataka anyang'anywe ardhi yake. Pengine tutasaidiane kutafuta definition ya Federation, maana nijuavyo mimi lazima iguse ardhi kwa sababu ina maana ya one Central government, kwa hiyo kila kitu kinaamuliwa na Serikali moja. Hata hivyo je, ndio kipaumbele cha mtanzania? Kwa faida ipi ? Ya Zanzibar mmeyamaliza? Bahati njema, waTZ wako makini kwa hili, wengi hawataki...labda wenye maslahi, na wenye asili za huko, maana wengine wamejichanganya humu humu ila tunawajua. Najua tunatawaliwa na ma-retard, ndio wanaweza kutupeleka huko, i keep my gingers crossed!
 
Can you back that with statistics to substantiate your claim? Even though, are those UGs and Knys present in Tanzania offer the skills that Tanzanians lack? Are the common market schedules of offers observed? Mark you, getting a job isn't necessarily about skills. Can you prove it that 99.9% of those workers aren't illegal.? We only need these people for their English in nursery and primary schools, in my opinion.

I do not agree with you. Kenya is way beyond us in so many things, well, except bongo flavor of course. And most of all educationally. On the red part, I think you are wrong coz you cant compare a form IV student from TZ and a standard 7 child from Kenya. Those two are way different in expressing themselves. In some places in Tanzania were a Kenyan is working with Tanzanians you will always notice the difference because they are more motivated, committed and creative compared to Tanzanians. And yes, we need their English not only in Nursery and primary schools but to some University students too.
 
Back
Top Bottom