Why mimi huu uonevu wa hali ya juu

Why mimi huu uonevu wa hali ya juu

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
561
Haaa hii sio haki tupo safarini nimeskia njaa gari
liakasimama kituo cha mafuta nikanunua viazi
vitamu vya kuchemshwa na mahindi ya kuchemsha
nikala baada ya muda akapndaa jamaa wa korosho
na jamaa wa mayai ya kuchemsha nikachukua mayai
mawili na korosho nikala,tulipofika sehemu ya msosi
kwakuwa nimeshiba nikanunua matunda
mchanganyiko ndizi,parachichi na
maembe,nikanunua na pepsi baridi nikarudi kwenye
gari nikala matunda'tukiwa njiani nikanywa pepsi
yangu nikapitiwa nausingizi nikalala baada ya muda
kidogo nikashtuka nikakuta kuna hali ya hewa nzito
na watu wanalalamika huku wananiangalia kwani ni
mimi tu ndio msafiri pekee yangu kwenye hilo basi
jamani whyyyyyyyy
 
Haaa hii sio haki tupo safarini nimeskia njaa gari
liakasimama kituo cha mafuta nikanunua viazi
vitamu vya kuchemshwa na mahindi ya kuchemsha
nikala baada ya muda akapndaa jamaa wa korosho
na jamaa wa mayai ya kuchemsha nikachukua mayai
mawili na korosho nikala,tulipofika sehemu ya msosi
kwakuwa nimeshiba nikanunua matunda
mchanganyiko ndizi,parachichi na
maembe,nikanunua na pepsi baridi nikarudi kwenye
gari nikala matunda'tukiwa njiani nikanywa pepsi
yangu nikapitiwa nausingizi nikalala baada ya muda
kidogo nikashtuka nikakuta kuna hali ya hewa nzito
na watu wanalalamika huku wananiangalia kwani ni
mimi tu ndio msafiri pekee yangu kwenye hilo basi
jamani whyyyyyyyy

Wewe hiyo chemistry uliyofanya lazima uharibu tu..
 
Haaa hii sio haki tupo safarini nimeskia njaa gari
liakasimama kituo cha mafuta nikanunua viazi
vitamu vya kuchemshwa na mahindi ya kuchemsha
nikala baada ya muda akapndaa jamaa wa korosho
na jamaa wa mayai ya kuchemsha nikachukua mayai
mawili na korosho nikala,tulipofika sehemu ya msosi
kwakuwa nimeshiba nikanunua matunda
mchanganyiko ndizi,parachichi na
maembe,nikanunua na pepsi baridi nikarudi kwenye
gari nikala matunda'tukiwa njiani nikanywa pepsi
yangu nikapitiwa nausingizi nikalala baada ya muda
kidogo nikashtuka nikakuta kuna hali ya hewa nzito
na watu wanalalamika huku wananiangalia kwani ni
mimi tu ndio msafiri pekee yangu kwenye hilo basi
jamani whyyyyyyyy

Hahahaaa, mstahiki meya umezowea shambani kila kitu unatafuna tuu; umenichekesha sana mkuu, siku nyingine usifanye mix kama hiyo ukiwa kwenye usafiri wa jumuiya utaumiza watu!
 
hahahaaa, mstahiki meya umezowea shambani kila kitu unatafuna tuu; umenichekesha sana mkuu, siku nyingine usifanye mix kama hiyo ukiwa kwenye usafiri wa jumuiya utaumiza watu!

ila mkuu me sikumbuki km nilitoa hyo hewa huu nionevu
 
Haaa hyo mixer balaa, inaelekea unapenda kula ovyo utahariii___ siku moja kwenye gari.
 
Utakuwa ulilipua bomu bila kujua ila #Msitahikmayor ulitakiwa usafiri kwa kutumia gari la kazini huku kwenye usafiri wa jumuia tuachie walalahoi.
 
Haaa hii sio haki tupo safarini nimeskia njaa gari
liakasimama kituo cha mafuta nikanunua viazi
vitamu vya kuchemshwa na mahindi ya kuchemsha
nikala baada ya muda akapndaa jamaa wa korosho
na jamaa wa mayai ya kuchemsha nikachukua mayai
mawili na korosho nikala,tulipofika sehemu ya msosi
kwakuwa nimeshiba nikanunua matunda
mchanganyiko ndizi,parachichi na
maembe,nikanunua na pepsi baridi nikarudi kwenye
gari nikala matunda'tukiwa njiani nikanywa pepsi
yangu nikapitiwa nausingizi nikalala baada ya muda
kidogo nikashtuka nikakuta kuna hali ya hewa nzito
na watu wanalalamika huku wananiangalia kwani ni
mimi tu ndio msafiri pekee yangu kwenye hilo basi
jamani whyyyyyyyy

actually, ulichofanya ni upumbavu tu! you are not civilised!

hujafunzwa wewe jinsi ya kusafiri na wenzio, halafu bado unatuletea laments..

sikiliza,

popote pale unapokuwa unasafiri, unatakiwa ule light foods. vyakula ambavyo haviwezi kuleta mchafuko wa tumbo ikiwemo kutoa hewa chafu ama ku-generate haja kubwa na ndogo hovyo hovyo!!!

hapo utasafiri salama na abiria wenzio.. huo ndio ustaarabu! otherwise ulichofanya, ulistahili kubaki polisi tu kwa kuwa source of air pollution and peace disturbance..
 
Hapo uko safarini unabonyea hivyo,je ukiwa maeneo yako ya kujidai si inakuwa balaa!
Nalog off
 
Shauriro umewaharibia hali ya hewa wenzio

ila wewe nimeshakubamba hivyo
nivyema ukajibambanisha sasa
haaa hii sio haki tupo safarini nimeskia njaa gari
liakasimama kituo cha mafuta nikanunua viazi
vitamu vya kuchemshwa na mahindi ya kuchemsha
nikala baada ya muda akapndaa jamaa wa korosho
na jamaa wa mayai ya kuchemsha nikachukua mayai
mawili na korosho nikala,tulipofika sehemu ya msosi
kwakuwa nimeshiba nikanunua matunda
mchanganyiko ndizi,parachichi na
maembe,nikanunua na pepsi baridi nikarudi kwenye
gari nikala matunda'tukiwa njiani nikanywa pepsi
yangu nikapitiwa nausingizi nikalala baada ya muda
kidogo nikashtuka nikakuta kuna hali ya hewa nzito
na watu wanalalamika huku wananiangalia kwani ni
mimi tu ndio msafiri pekee yangu kwenye hilo basi
jamani whyyyyyyyy
 
Back
Top Bottom