Wadau kuna kesi nyingi tulizowahi kusikia za mauaji yawe ya bahati mbaya au makusudi....na jinsi kesi hizo zinavyoendeshwa kwa hapa Tz, mtu anaweza kukaa rumande hata miaka miwili kesi imetajwa mara 1 au 2...kwa jinsi hii kesi ya Lulu inavyopelekwa huenda hukumu itatoka haraka sana, Swali ni je! kwa nini kesi ya Lulu ipelekwe haraka wakati kuna watu Lulu kawakuta mahabusu kwa kesi kama yake wanasota na kesi zao haziendi faster?? au ndo yale yale kuna watu wanaendesha mahakama zetu wakiwa maofisini mwao??...