Why is nobody talking about how bad the traffic has gotten in DSM?

Why is nobody talking about how bad the traffic has gotten in DSM?

flamini

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
595
Reaction score
788
The traffic has progressively worsened in DSM over the past year, with indiscriminate construction work, and zero regard for the public. Construction takes forever to finish, imagine a significant Chato road is still under construction for three years and now its blocking Migombani road Mikocheni.

Wanaojiita Wenye Mamlaka na wanaohusika hawapiti njia?hawaoni?kwanini wanachukulia poa? kwanini tunataka majukumu lakini hatuna upendo kwa sisi wenyewe na raia mwenzako? kwanini tuko incompetent hata kwa vitu muhimu vidogo?

Tunalishwa nini watanzania tukiwa wadogo kiasi sisi kutufanya tuwe hatujipendi? No wonder ukifungua redio asubuhi ni michezo, kamari na habari nyepesi nyepesi?

Mi naamini watanzania wenye mapenzi, watumishi wazuri na smart wapo ila wameridhika na wanaumia chini kwa chini.

Writers, philosphers, doctors, walimu, wanasayansi na intellectuals wote, tokeni ongeeni na watanzania kwa kutumia technology iliyopo sasa, most Tz wana smartphone now, tengenezeni vipindi na content za maana, mijadala na uhamisishaji wa kuhoji na kuamua mambo.

Watanzania wanawalilia hawana option zaidi ya kuangalia content cheap zinazowafanya wawe docile and incompetent.

Tukifanya hivi leo na kutoa support kwa yoyote anayefanya positive na educative stuff naamini kizazi chetu kitabadilika sana. Tanzania inakua na inavijana wengi sana huku mablaza tuliyotoboa hatuwaangalii.
 
Kuna posta huku wanajenga barabara ya mwendokasi na magari hakuna 🤣🤣🤣
 
The traffic has progressively worsened in DSM over the past year, with indiscriminate construction work, and zero regard for the public. Construction takes forever to finish, imagine a significant Chato road is still under construction for three years and now its blocking Migombani road Mikocheni.

Wanaojiita Wenye Mamlaka na wanaohusika hawapiti njia?hawaoni?kwanini wanachukulia poa? kwanini tunataka majukumu lakini hatuna upendo kwa sisi wenyewe na raia mwenzako? kwanini tuko incompetent hata kwa vitu muhimu vidogo?

Tunalishwa nini watanzania tukiwa wadogo kiasi sisi kutufanya tuwe hatujipendi? No wonder ukifungua redio asubuhi ni michezo, kamari na habari nyepesi nyepesi?

Mi naamini watanzania wenye mapenzi, watumishi wazuri na smart wapo ila wameridhika na wanaumia chini kwa chini.

Writers, philosphers, doctors, walimu, wanasayansi na intellectuals wote, tokeni ongeeni na watanzania kwa kutumia technology iliyopo sasa, most Tz wana smartphone now, tengenezeni vipindi na content za maana, mijadala na uhamisishaji wa kuhoji na kuamua mambo.

Watanzania wanawalilia hawana option zaidi ya kuangalia content cheap zinazowafanya wawe docile and incompetent.

Tukifanya hivi leo na kutoa support kwa yoyote anayefanya positive na educative stuff naamini kizazi chetu kitabadilika sana. Tanzania inakua na inavijana wengi sana huku mablaza tuliyotoboa hatuwaangalii.
Umeandika kitu cha maana sana. Huwa nakaa najiuliza sana tatizo nini? Sipati majibu.
 
Umeandika kitu cha maana sana. Huwa nakaa najiuliza sana tatizo nini? Sipati majibu.
Wanaojua vitu wapo kimya. Wanaona,wanaumia na bado wanakaa kimya. Pascal Mayalla live long life i really appreciate mchango wako na Jitihada zako za kutoa Elimu kwa kutengeneza Content,mijadala na kuelimisha wananchi wenzetu. Media zetu mizani ibalance,content za burudani ziwepo na content za kisomi,mijadala ya kuchanganua bongo baina ya wasomi na kuwafungua watanzania wa kawaida kwenye dunia ya Sayansi,filosofia na kujitambua wao kama nani. Wasomi inabidi kujitolea na kutoa aibu na kuingia ulingoni kupambana na content mbovu kwenye ulimwengu huu wa internet.

Mfano chama cha mawakili,walimu,madaktari wanaweza wakaweka budget ya content creation na kutoa elimu kwa mambo mbalimbali. Wananchi wanahitaji role models na kujifunza,sasa kwa tanzania wanajifunza kwa nani?role models wa watoto wetu ni nani?

Sawa hatuna Nat geo world,Discovery channel sijui History channel ya kwetu lakini mwananchi wa kawaida ana haki ya kujifunza vitu mbali mbali kwa wepesi kuliko kuona kila siku Simba na Yanga,matangazo ya mwijaku na habari za wachungaji,skendo za celebrities.
 
Back
Top Bottom