Tidito L
Member
- Jan 23, 2011
- 97
- 16
Nimekuwa nikifatilia hv ni kwanini wanaume wanaenda kununua penzi kwa wanawake?nilowauliza 50% wanadai ni wanataka kupunguza sparm zao, wengine wanadai kupata ratha tofauti,wengine kutotaka usumbufu wa kuanza kutöngoza ihalali hela wanayo,wngn kunyimwa na wake zao majumbani. Wengn ni adicted kama kuvuta fegi, pombe nk.
We unalisemeaje hilo.?
Tafathali!! kama huna point kaa kimiya, usome za wenzio.
We unalisemeaje hilo.?
Tafathali!! kama huna point kaa kimiya, usome za wenzio.