Why inakuwa hv.

Tidito L

Member
Jan 23, 2011
97
16
Nimekuwa nikifatilia hv ni kwanini wanaume wanaenda kununua penzi kwa wanawake?nilowauliza 50% wanadai ni wanataka kupunguza sparm zao, wengine wanadai kupata ratha tofauti,wengine kutotaka usumbufu wa kuanza kutöngoza ihalali hela wanayo,wngn kunyimwa na wake zao majumbani. Wengn ni adicted kama kuvuta fegi, pombe nk.
We unalisemeaje hilo.?
Tafathali!! kama huna point kaa kimiya, usome za wenzio.
 
hii siredi ilishaletwa hapa hbu itafute upate majbu kupunguza watu kumaliza resources..................na siwezi kaa kimya coz huna hati miliki ya hii siredi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom