Why Gwajima collapsed


Una hakika kuwa amezini?
Au unashuhudia kutokana na magazeti ya udaku?
 
 
...but when police began questioning him about his wealth is when his health status suddenly changed as he was sweating profusely... I REMEMER THE GUY SAID "... SIOGOPI POLISI WALA MAHAKAMA, WALA BUNGE..." why then sweating profusely ?

Kusema na kutenda ni vitu viwili tofauti kabisa. Huyu hakutegemea maswali yanayohusu utajiri wake. Inaonekana hana maelezo yanayojitosheleza kuhusu utajiri wake
 
alisema haogopi mahakama,polisi wala bunge napata shida kumuelewa huyu mtu.....nazichukia kupita kiasi hizi dini!
 
Una hakika kuwa amezini?
Au unashuhudia kutokana na magazeti ya udaku?
31Wakati unakujanitakapozipunguza nguvu zenu na nguvu yanyumba ya baba yenu, ili pasiwepo mtu katikambari yenu atakayeishi kuuona uzee 32nanyimtaona huzuni katika makao yangu.
 
Daaaa Mungu wangu tangu nimesoma huu uzi nikucheka tu ama kwa hakika jf ni raha na uelimishaji.KUDOS
 
Gwajima ni paper tiger. Matusi kibao mdomoni kumbe ana mshipa wa kash kash!
 
Mi yangu mimacho tu, viongozi wote wa kidini wanaotoa matamko kuhusu mambo ya kisiasa hawajui wajibu wao. Maaskofu wote waliosaini huo waraka hawana akili waliokuwa bunge maalum hawana akili. Kaeni muhubiri injili acheni umbea

Kwa hiyo wewe ndiye mwenye akili peke yako. Mpumbavu kabisa. Na maneno yako hayo ya kukosa akili yatakurudia wewe mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…