Mi yangu mimacho tu, viongozi wote wa kidini wanaotoa matamko kuhusu mambo ya kisiasa hawajui wajibu wao. Maaskofu wote waliosaini huo waraka hawana akili waliokuwa bunge maalum hawana akili. Kaeni muhubiri injili acheni umbea[/QUOTE]
Injili ni pamoja kuhakikisha maisha ya watu yanaboreka kiroho na kiuchumi.